Nina aibu mpaka najiogopa!!

Sasa kama huwaangalii watu machoni unapoongea nao utajuaje kama wanakudanganya au wanasema uongo?
 
una kitu/kiungo au tabia isiyo ya kawaida. Hivyo ukiongea na watu unahisi kuwa wanakuona au kujua hiyo tabia/kitu/kiuongo.
 
binadam tumeumbwa na uso wa aibu ila ikizd kama hyo yako inakuwa kero,wewe waangalie tu usoni wala hawangati kwa kuwakodolea macho ukiweza ilo basi aibu inapotea yenyewe man
 
mkuu hayo ni maumbile tu halafu mambo ya pombe cjui msuba achana nayo jitahidi tu hivyo hivyo kama huko kwingine
 
kwakua mbele ya totoz unaweza jitutumua nakushauri kila unayeongea nae assume ni totoz
 
Jaribu kujichunguza ujue chanzo, yaani ni kitu gani unakifikiria au kinakuja mawazoni kwako ukiwa na watu. Angalia historia yake. Kama bado kipo tafuta utatuzi wake. Kama ni kitu cha kihistoria basi jaribu kukifuta mawazoni kwa kufikiria kitu kingine positive.
Kuna rafiki yangu alikua kikojozi mpaka darasa la 5. Bahati mbaya wazazi wake wakamtembeza mtaani na godoro. Ilim-affect sana shuleni mpaka tunamaliza lasaba. Baada ya miaka nikakutana nae full confidence na anahadithia watu kuwa alikua kikojozi mpaka la saba lakini shuleni alikua mkali (na kweli alikua mkali, ni graduate sasa). Aliweza kuibadili weakness kuwa kitu ya kawaida.

hata kama uliwahi kuliwa tigo kama haikua fair play sio tatizo pia!
 
Jaribu kujichunguza ujue chanzo, yaani ni kitu gani unakifikiria au kinakuja mawazoni kwako ukiwa na watu. Angalia historia yake. Kama bado kipo tafuta utatuzi wake. Kama ni kitu cha kihistoria basi jaribu kukifuta mawazoni kwa kufikiria kitu kingine positive.
Kuna rafiki yangu alikua kikojozi mpaka darasa la 5. Bahati mbaya wazazi wake wakamtembeza mtaani na godoro. Ilim-affect sana shuleni mpaka tunamaliza lasaba. Baada ya miaka nikakutana nae full confidence na anahadithia watu kuwa alikua kikojozi mpaka la saba lakini shuleni alikua mkali (na kweli alikua mkali, ni graduate sasa). Aliweza kuibadili weakness kuwa kitu ya kawaida.

hata kama uliwahi kuliwa tigo kama haikua fair play sio tatizo pia!

sasa mkuu,huo ni ushauri au tusi?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom