Nimsaidiaje huyu jamaa yangu! Huwa anaota

Niweke sawa hapo kwenye red ni wewe au huyo rafiki yako.?

Nauliza nina sababu ya msingi kwamba kama ameweza kukwambia hayo yote kwanini hilo la kuwa anaota asikwambie?? Huyo ni wewe sema ukweli wako kama sio wewe basi rudi umuulize vizuri huyo mkewe hujuaje kama katoka nje??

Ka ni mimi si ninasema! si kuna klabu ya infis huku wangenipokea tu kwa raha! Kumuuliza mamsapu wa jamaa ninajua sio sahihi maana siyo yeye alonambia kuhusu issue nzima. hata hvyo ni hisia zako tu!
 
Ka ni mimi si ninasema! si kuna klabu ya infis huku wangenipokea tu kwa raha! Kumuuliza mamsapu wa jamaa ninajua sio sahihi maana siyo yeye alonambia kuhusu issue nzima. hata hvyo ni hisia zako tu!

Hujanielewa naona nimesema kama sio wewe rudi kwa huyo jamaa muulize mkewe hujuaje kama katoka nje badala ya wewe kuhisi kuwa anaota
 
Umejuaje haya yote???!!



Dena, hii inaweza kuwa kweli...ni yeye tu mwenyewe anakuja kwa jina la rafiki yake!

Kwa hali hii, kuna safari ndefu ya kuondokana na ukimwi! Muogopeni Mungu jamani!!

Sikukatazi kuwa na shuku. Kwani wewe huwezi kujua yanayomsibu swahiba wako. Fikra zako tu!
 
Hakika huyo ni wewe Naomba nikutanishe na mkeo huyo! Kwakuwa moyo wako uko kwa v smal house anayetakiwa kutibiwa ni mkeo sio wewe nakuhakkshia utampenda toka moyoni na utamota yeye bdala ya vimada hao kiongozi
 
Nina mshikaji wangu mmoja hivi. Tunaelewana sana ila ana shida kidogo. Anapenda totos kwa sana. Tatizo lake ananambia kuwa akido tu nje mywife wake humuuliza kesho yake jana ulikuwa wapi na nani. Je ulitumia co***mu ama. Kisha hushuka valangati la kuua mtu. Mimi nimehisi huwa anaota hivyo kumpa mwanya mke wake kujua kuwa alikuwa kwa small house. Anaomba ushauri afanyeje!
Mwambie aache uzinzi. Hata kama akiacha kuota, hata kama mkewe asipojua Mungu anajua na anaona. Amwogope Mungu kwanza kabla yakumuogopa mkewe au UKIMWI. Hakuna marefu yasiyo na ncha!
 
Hakika huyo ni wewe Naomba nikutanishe na mkeo huyo! Kwakuwa moyo wako uko kwa v smal house anayetakiwa kutibiwa ni mkeo sio wewe nakuhakkshia utampenda toka moyoni na utamota yeye bdala ya vimada hao kiongozi

We! Koma mke wangu! Halafu wacheni kushadadia oooh ni wewe. Mi si nasema tu kwani nauwawa hapa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom