Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Umeona eeehhh huyu jamaa anajichanganya mwenyewe mambo yote hayo atayajuaje???
Mimi nimemshitukia huyu jamaa...yeye aache tu huyo mchezo!
Umeona eeehhh huyu jamaa anajichanganya mwenyewe mambo yote hayo atayajuaje???
usikute ni yeye mwenyewe sema anaogopa kujitaja hapa :ranger:
Mimi nimemshitukia huyu jamaa...yeye aache tu huyo mchezo!
Niweke sawa hapo kwenye red ni wewe au huyo rafiki yako.?
Nauliza nina sababu ya msingi kwamba kama ameweza kukwambia hayo yote kwanini hilo la kuwa anaota asikwambie?? Huyo ni wewe sema ukweli wako kama sio wewe basi rudi umuulize vizuri huyo mkewe hujuaje kama katoka nje??
Ka ni mimi si ninasema! si kuna klabu ya infis huku wangenipokea tu kwa raha! Kumuuliza mamsapu wa jamaa ninajua sio sahihi maana siyo yeye alonambia kuhusu issue nzima. hata hvyo ni hisia zako tu!
Umejuaje haya yote???!!
Dena, hii inaweza kuwa kweli...ni yeye tu mwenyewe anakuja kwa jina la rafiki yake!
Kwa hali hii, kuna safari ndefu ya kuondokana na ukimwi! Muogopeni Mungu jamani!!
Mwambie aache uzinzi. Hata kama akiacha kuota, hata kama mkewe asipojua Mungu anajua na anaona. Amwogope Mungu kwanza kabla yakumuogopa mkewe au UKIMWI. Hakuna marefu yasiyo na ncha!Nina mshikaji wangu mmoja hivi. Tunaelewana sana ila ana shida kidogo. Anapenda totos kwa sana. Tatizo lake ananambia kuwa akido tu nje mywife wake humuuliza kesho yake jana ulikuwa wapi na nani. Je ulitumia co***mu ama. Kisha hushuka valangati la kuua mtu. Mimi nimehisi huwa anaota hivyo kumpa mwanya mke wake kujua kuwa alikuwa kwa small house. Anaomba ushauri afanyeje!
Hakika huyo ni wewe Naomba nikutanishe na mkeo huyo! Kwakuwa moyo wako uko kwa v smal house anayetakiwa kutibiwa ni mkeo sio wewe nakuhakkshia utampenda toka moyoni na utamota yeye bdala ya vimada hao kiongozi