Bahati nzuri niliwahi kutembelea Musoma vijijini shule mbili nimezitembelea,na shule zenyewe ni Osward Mang'ombe na Chief hiunyo.
Kweli ni shule nzuri sana zenye facilites zote,watoto pale ni kula na kusoma not only that watoto wanaofanya vzr class wote chuo kikuu wanasomeshwa na mkuu mwanzo mwisho.
Hiyo Osward Mang'ombe ni mpango wakujenga chuo kikuu kikubwa Africa kitakachoitwa Julius Nyerere.
Kweli ni shule nzuri sana zenye facilites zote,watoto pale ni kula na kusoma not only that watoto wanaofanya vzr class wote chuo kikuu wanasomeshwa na mkuu mwanzo mwisho.
Hiyo Osward Mang'ombe ni mpango wakujenga chuo kikuu kikubwa Africa kitakachoitwa Julius Nyerere.