Nimrod Mkono: Atumia BILIONI 90 kujenga shule 7

Jamani eeh

nimepata data

Shule 5 kati ya zile 7 katumia minimum 14 million USD

Zile zingine 2 katumia 12 million USD

kile chuo cha kujitegemea so far kashatumia 10 million USD

contractor aliyewekwa pale ni class 1

alikuwa analipa mpaka mishahara ya walimu, vifaa vya kufundishia na mengineyo

na sasa ana ugomvi na serikali kwani aliwapa waziendeshe serikali imeshindwa na mwenyewe anataka kuzirejesha

hiyo ndio ukweli wenyewe
 
Huyu naye atachukiwa kwa kujenga shule na kuwapa maendeleo wananchi wake

sababu ni wivu tuu
Hapana. Sijaona mtu anamchukia Mkono hapa. Kafanya kweli. Labda watu wakishaona matokeo ya juhudi za Januari nao watakuja kumsifia. Lakini kwa hivi sasa wengi bado incredulous.
 
mkono.JPG



Kwa maana hiyo BILIONI 90 ni kwa ajili ya construction ya shule na kujaza fenicha na kila kitu

sasa watu wa huko kwao wanasema BILIONI 90 NI ESTIMATE ZA CHINI mno

Sina picha za hizo shule lakini kama kweli kaiba na kisha mapesa yenyewe kajenga shule Tanzania na inasemekana kazikabidhi serikali ambayo imeshindwa kuziendesha....mnasemaje wakuu?

sasa kama mapesa yote hayo yametolewa kwa wananchi jiulizeni kiasi gani jamaa kaweka nje ya nchi?

Hivi kweli mtu kama Ndesamburo anaweza kumfikia Mkono kwa investment ya elimu aliyofanya huko Musoma?

mkipata picha zileteni


Ohh I should point out ni PESA ZAKE BINAFSI....na kwa sababu hajawahi kuhukumiwa na chombo chochote cha sheria I assueme ni pesa halali

Ikumbukwe Nimrod ni moja ya walioiba bank kuu kipindi cha Nyerere na ikabidi akaishi UK kutokana na Nyerere kutaka kumpoteza, baadae ndio akarudi baada ya Nyerere kung'atuka, ila baada ya hapo fedha zilizofuata zikawa halali kwa kupitia firm yake ya sheria. Kwa hiyo mtaji wake ndio wenye shaka ila zilizoendelea ni halali kabisa.
 
Huyo ni mwizi walichoma mafaili BOT wakakwapua hela na kukimbili nje, amekaa nchini baada ya Nyerere kung'atuka.Anawarudishia watanzania pesa zao!

Walipochoma benki Nyelele alikuwa wapi? kalala?
 
Picha zilishawekwa bandiko namba #19. Na jumla ya fedha alizotumia nadhani ni $40 million na si $80 million.

BOQ za shule moja zilikuwa ni $20 million na zilizobaki zilikuwa na round figure ya $22 to $23 million this btw included kujenga na ku equip hizo shule na kuweka umeme

Mwenyewe anasema kuwa hizo ndio zipo on record.Lakini hakujumuisha gharama zinginezo

halafu mtu anakuuliza pesa anatoa wapi...as if hilo ndio swali la kuulizana humu ndani.

Kinachonishangaza ni kuwa huyu Mkono hana GulfStream V kama hii

myaviationnetphotoid006ya2.jpg
 
BOQ za shule moja zilikuwa ni $20 million na zilizobaki zilikuwa na round figure ya $22 to $23 million this btw included kujenga na ku equip hizo shule na kuweka umeme

Mwenyewe anasema kuwa hizo ndio zipo on record.Lakini hakujumuisha gharama zinginezo

halafu mtu anakuuliza pesa anatoa wapi...as if hilo ndio swali la kuulizana humu ndani.

Kinachonishangaza ni kuwa huyu Mkono hana GulfStream V kama hii

myaviationnetphotoid006ya2.jpg
Anazo ndege tatu. They are turboprops.
 
Halafu watu tunamwandama mzee wa kikombe kwa kanyumba na kagari alivyotapeli.
 
Huyu mzee ana kampuni ya wanasheria na kesi anazosimamia ni kubwa kubwa hivyo asilimia anayolamba ni kubwa isitoshe hapa akimwambia Obama kuna vishule vyangu najenga kule nyumbani nahitaji kana vidollar million 60 hawezi kumnyima ni kuwa anapambana sio mbaya
 
mkono.JPG



Kwa maana hiyo BILIONI 90 ni kwa ajili ya construction ya shule na kujaza fenicha na kila kitu

sasa watu wa huko kwao wanasema BILIONI 90 NI ESTIMATE ZA CHINI mno

Sina picha za hizo shule lakini kama kweli kaiba na kisha mapesa yenyewe kajenga shule Tanzania na inasemekana kazikabidhi serikali ambayo imeshindwa kuziendesha....mnasemaje wakuu?

sasa kama mapesa yote hayo yametolewa kwa wananchi jiulizeni kiasi gani jamaa kaweka nje ya nchi?

Hivi kweli mtu kama Ndesamburo anaweza kumfikia Mkono kwa investment ya elimu aliyofanya huko Musoma?

mkipata picha zileteni


Ohh I should point out ni PESA ZAKE BINAFSI....na kwa sababu hajawahi kuhukumiwa na chombo chochote cha sheria I assueme ni pesa halali

Hata kama kajenga shule zenye manufaa ya wananchi naomba TAKUKURU, we Hosea (PhD) angalia source ya hizo funds haraka!!
 
90 BILLION ni hela nyingi sana!! Sina uhakika kama yeye mwenyewe amejenga Shule zenye Value for Money! Ninavyojua in 2 billions you can make a nice school including equipments!! So for such a hell of money you can make 45 schools!! Hizi ni propaganda!! I can't support till I see some photos!! Majengo mengi ya Gorofa nane (8) Kariakoo full furnished yana Wastani wa Gharama ya million 900 (0.9b) hadi 1,200 million (1.2b)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom