hata JK analijua hilo
alafu hii kauli j alipo itoaga alikua mzima kweli? Au ndo kubariki wahisani?
hata JK analijua hilo
Au hii inahusiana na ile signature?
Nimrod Mkono Mbunge wa Musoma Vijijini ametishia chama chake endapo kitamtosa mpaka mwisho kwenye kinyang'anyiro cha Ujumbe wa NEC. Amesema hayo baada ya kutoswa kwenye mchakato wa awali.
Source: Mwananchi
Karibu TLP Fisadi, Chadema huna nafasi
Jana nilimuona ITV anaisifia CHADEMA "eti" hainaga longolongo kwenye chaguzi zake!
Kaka Matola wakijaribu kwa Lowassa itakuwa ndio mwisho wa CCM kwenye medani za siasa itabidi iungane na vyama rafiki kama EPA MEREMETA na DOWANS kwenye hayo mautiMbona hii ni mara ya pili mfululizo anapigwa chini kugombea nafasi hiyo hiyo? Mkono he is not a threat kwenye siasa za makundi CCM bali mipesa yake ndio imemfanya awe karibu na magwiji kina Lowasa. wamkate jina Lowasa waone vumbi lake.
fisadi tu huyo hana cha kuitisha ccm, naye ataingia mitini kama alivyofanya kigwangala.