tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wana Jf kuna dada yake na mdogo wangu ambaye ni mtoto wa baba mdogo. Nimefahamiana naye sababu ya mdogo wangu, tumezoeana na namheshimu kama ndugu yangu. Lakini cha ajabu ameanza kuonesha kila dalili za kunitaka. Majuzi kanitumia sms ikisema "je una mapenzi ya dhati kwangu?" sikumjibu kwan nilihis amekosea au anatania. Lakini jana akanipigia simu na kulalamika mbona sijamjibu, nikamwambia "nilidhani umekosea kutuma hiyo sms" akajibu "ni ya kwako kwanza sinaga wanaume, naomba uijibu". Jamani ameniachia maswali mengi, vilevile kanikosea adabu., lakini vipi nimjibu? Naomba ushauri wenu