kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,632
- 1,829
- Thread starter
- #41
Hapana bunge ni kitu kingine mkuuIkulu nalo ni jengo la umma waweza piga pia ....
Hapana bunge ni kitu kingine mkuuIkulu nalo ni jengo la umma waweza piga pia ....
🤣🤣Hii ni maajabuWakati nipo katika ziara ya kutembelea maeneo nyeti hapa dodoma ikiwemo chuo cha CBE, bungeni, takwimu, hazina, udom, nafika tu Benjamin nataka kupiga picha jamaa akaanza oya we jamaa fasta njoo hapa nani kakuruhusu kupiga picha kama vipi Leo hutoki humu ndani.
Kumbe pale getini kuna picha na kamera imewekewa marufuku kupiga picha. Eti nyie ndo mnachafua mitandaoni hospital hii. Ikabidi niombe msamaha. Nikaachiwa
Ungekiwasha tuu wangesandaAlikuja na mwenzie badae nikaona nakosa nguvu
Kuna maeneo hayaruhusiwi kupiga picha hovyo hadi upate ruhusa maalum na pia wakupe mipaka.Nimepiga picha maeneo mengi sana including udom sasa ubaya ulikua wapi mbona kule hawakuleta makeke?
Sawa
Asante mkuu kawaida tu.Pole sana mkuu na heri ya mwaka mpya.
Nile mbata kwa kosa lipi?Una bahati, ungekula mbata
Ni kwel hospital nyingi wanazuiaWakati nipo katika ziara ya kutembelea maeneo nyeti hapa dodoma ikiwemo chuo cha CBE, bungeni, takwimu, hazina, udom, nafika tu Benjamin nataka kupiga picha jamaa akaanza oya we jamaa fasta njoo hapa nani kakuruhusu kupiga picha kama vipi Leo hutoki humu ndani.
Kumbe pale getini kuna picha na kamera imewekewa marufuku kupiga picha. Eti nyie ndo mnachafua mitandaoni hospital hii. Ikabidi niombe msamaha. Nikaachiwa
Unaitwa kindezi unaenda?
Kuanzia leo huna cheo, tumekuvua
Ww sasa ni kuruta
Safi sana. Inatakiwa wananchi wapelekeshwe namna hii ili wafunguke akili zao zilizoganda kama nyumbu wa Manyara. Sehemu nyingine duniani makatazo kama haya yaliisha wakati wa vita kuu ya pili ya dunia lakini Bongo bado ''nyumbu'' wanapelekeshwa.Wakati nipo katika ziara ya kutembelea maeneo nyeti hapa dodoma ikiwemo chuo cha CBE, bungeni, takwimu, hazina, udom, nafika tu Benjamin nataka kupiga picha jamaa akaanza oya we jamaa fasta njoo hapa nani kakuruhusu kupiga picha kama vipi Leo hutoki humu ndani.
Kumbe pale getini kuna picha na kamera imewekewa marufuku kupiga picha. Eti nyie ndo mnachafua mitandaoni hospital hii. Ikabidi niombe msamaha. Nikaachiwa
HahahRudi tu Iringa kwenu mnyalukolo wewe...
HahaAitwe Mrugaruga
Kosa utalijua baada ya kula mbataNile mbata kwa kosa lipi?
hivi wale nao ni askari au ni walinzi? wana power ya kuwa askari wale kisheria? ni wafanyakazi wa jeshi au waajiriwa kama walinzi private entities.Wakati nipo katika ziara ya kutembelea maeneo nyeti hapa dodoma ikiwemo chuo cha CBE, bungeni, takwimu, hazina, udom, nafika tu Benjamin nataka kupiga picha jamaa akaanza oya we jamaa fasta njoo hapa nani kakuruhusu kupiga picha kama vipi Leo hutoki humu ndani.
Kumbe pale getini kuna picha na kamera imewekewa marufuku kupiga picha. Eti nyie ndo mnachafua mitandaoni hospital hii. Ikabidi niombe msamaha. Nikaachiwa
Acha hizo. Kubali tu umezinguliwa. Si umesema wewe mwenyewe kwamba uliomba msamaha? Na itakuwa ulifanya hivyo kwa sababu kumbe kuna tangazo la kuonya kupiga picha, hivyo kuendelea kubisha ni ujinga!Tulijibizana sema alikuja mwenzie akaongeza nguvu
Suma anakuzingua?Hahaha kwa lile biti Lao mzee hata akili ilipagawa
Ungemwambia wewe ni Tiss hakikisha unapoenda maeneo Kama hayo jitambuishe Kwa high profile.