kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakati nipo katika ziara ya kutembelea maeneo nyeti hapa dodoma ikiwemo chuo cha CBE, bungeni, takwimu, hazina, udom, nafika tu Benjamin nataka kupiga picha jamaa akaanza oya we jamaa fasta njoo hapa nani kakuruhusu kupiga picha kama vipi Leo hutoki humu ndani.
Kumbe pale getini kuna picha na kamera imewekewa marufuku kupiga picha. Eti nyie ndo mnachafua mitandaoni hospital hii. Ikabidi niombe msamaha. Nikaachiwa
Kumbe pale getini kuna picha na kamera imewekewa marufuku kupiga picha. Eti nyie ndo mnachafua mitandaoni hospital hii. Ikabidi niombe msamaha. Nikaachiwa