econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,126
- 22,284
Mlitakaje?
Hv hio movie bila uwepo wa Rais kuna mtu angeangalia?
Bila uwepo wa huyo mzungu na profile yake kuna mtu angepay attention?
Gharama mshaambiwa sio za Serikali..na ht km zingekua za Serikali anachofanya mama ni kibaya?
Alternative views za watu kupewa hela sijui wakanunue ng'ombe?
Mi naona tu they r js trying to be relevant ila kwenye hili wamefeli
Hivi billion 9 kwa dakika 56 na billion 9 kuwaempower vijana kipi Cha Msingi?