Sina cha kuongeza.Kwamba Wachina wameshafika Bukoba mashambani?!!
Mwenyewe ndo bado nashangaa-shangaa hapa!Sijawahi kuona!
Hiyo ni zawadi ya kula.Ikiwa unajuwa inapotokea naomba wajulishe wale wanaopenda kupata kambu yake ili wakapande majumbani kwao kufanikisha kilimo kwanza.Hakuna mgomba wa aina hiyo hapa Tanganyika. Mgomba huo uko India na picha hiyo nimeshaiona mara nyingi