Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
Mmh ivyo vimi dole tu hapo ndo vinavyo nitishia na izo cjui nywele mmh vina niogopesha duh?
Mmh ivyo vimi dole tu hapo ndo vinavyo nitishia na izo cjui nywele mmh vina niogopesha duh?
Wewe happiness win embu acha imani yako potofu. Nani kasema kuwa hivi viatu ni vya majini?
na ama sio vya majini basi vitakua ni vya nchikavu
Uh haiwezekani kuvaliwa huku, maana miguu licha ya kuwa ni ya kizungu lakini pia imezeeka ile mbaya!!