Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 3,138
- 7,544
Hamna mechi katika maisha yangu imeniuma kama hii Tanzania na Morocco.
Kweli Tanzania sisi wakupigwa goli Tatu. Kwamba sisi tuko level ya chini hivi. Sawa timu huwa zinafungwa. Kweli vijana wetu wameenda kutuwakilisha mechi ya kwanza wanapigwa tatu.
Mbona walituadaa mioyo yetu vizuri. Sisi kweli wakulalamika muda huu. Serious. Kauli za kocha ziliniumiza sana kabla ya mechi.
Je, kweli hiki ndicho tunapewa zawadi sisi au mimi mtanzania. Why?
Kweli tumepigwa hii mechi. Nimeumia sana. Hivi brazil ikienda kucheza huwa si inawaza nchini kwake wabrazil wenzao, au pale germany, au london uingereza si huwa wanajua wameenda wakilishwa. Serious Timu ya taifa ya kutuumiza kila siku😪😪😪😪.
I am very disappointed, sijui ni mm tu nimeumia hvi. Aaanh
Kweli Tanzania sisi wakupigwa goli Tatu. Kwamba sisi tuko level ya chini hivi. Sawa timu huwa zinafungwa. Kweli vijana wetu wameenda kutuwakilisha mechi ya kwanza wanapigwa tatu.
Mbona walituadaa mioyo yetu vizuri. Sisi kweli wakulalamika muda huu. Serious. Kauli za kocha ziliniumiza sana kabla ya mechi.
Je, kweli hiki ndicho tunapewa zawadi sisi au mimi mtanzania. Why?
Kweli tumepigwa hii mechi. Nimeumia sana. Hivi brazil ikienda kucheza huwa si inawaza nchini kwake wabrazil wenzao, au pale germany, au london uingereza si huwa wanajua wameenda wakilishwa. Serious Timu ya taifa ya kutuumiza kila siku😪😪😪😪.
I am very disappointed, sijui ni mm tu nimeumia hvi. Aaanh