Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Jambo wanaJF,
Namshukuru Mwenyezi Mungu maana na mimi JK ameniona na kuamua kuniteua kuwa DC wa wilaya mojawapo katika huu uteuzi mpwa wa ma DC,
Hapa nilipo nalala night club nikijipongeza huku nikisubiria kwenda kuwatumikia waTZ...
Nawashukuru wote na naamini mtanisaidia kufikisha malengo ya JK
Pamoja sana JF!
Namshukuru Mwenyezi Mungu maana na mimi JK ameniona na kuamua kuniteua kuwa DC wa wilaya mojawapo katika huu uteuzi mpwa wa ma DC,
Hapa nilipo nalala night club nikijipongeza huku nikisubiria kwenda kuwatumikia waTZ...
Nawashukuru wote na naamini mtanisaidia kufikisha malengo ya JK
Pamoja sana JF!