Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Ni kutoka kwa jamaa yangu mmoja, anauliza hivi:
Ivi ingekuwaje kama bao la tendo la ngono lingekuwa linatoa mlio kama wa bunduki? "Paaaa!" Nahisi tungekuwa viziwi dunia nzima kwa sababu usiku kelele za mabao tusingelala. Tena fikiria wale watu waliokaribu na "guest house" wangelala? YAANI INGEKUWA NI "PAAAA! PAAAA! PAAAA! PAAAA! MPAKA KUNAKUCHA!
Usiku mwema wadau.
Ivi ingekuwaje kama bao la tendo la ngono lingekuwa linatoa mlio kama wa bunduki? "Paaaa!" Nahisi tungekuwa viziwi dunia nzima kwa sababu usiku kelele za mabao tusingelala. Tena fikiria wale watu waliokaribu na "guest house" wangelala? YAANI INGEKUWA NI "PAAAA! PAAAA! PAAAA! PAAAA! MPAKA KUNAKUCHA!
Usiku mwema wadau.