ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
duuuu!!!ingekuwa balaaaaa maana kila nyumba ingekuwa na mlio wake,low,medium,high
mwe mwe mwe mwe khaa!
Ni kutoka kwa jamaa yangu mmoja, anauliza hivi:
Ivi ingekuwaje kama bao la tendo la ngono lingekuwa linatoa mlio kama wa bunduki? "Paaaa!" Nahisi tungekuwa viziwi dunia nzima kwa sababu usiku kelele za mabao tusingelala. Tena fikiria wale watu waliokaribu na "guest house" wangelala? YAANI INGEKUWA NI "PAAAA! PAAAA! PAAAA! PAAAA! MPAKA KUNAKUCHA!
Usiku mwema wadau.
hahahahaah....nyie watu nyie! Dah.
fumba macho ukizidiMi naona utaaaaaaaaam
Just an anecdote: Kuna vijana kutoka sehemu fulani ya Tanzania walinihadithia kuwa walipokwenda Misri kusoma, kwenye nyumba za biashara ya ngono mtandao wa tiGo ulikuwa unauzwa rahisi kuliko ule wa kawaida. Watanzania wale walihamia kwenye tiGo muda mrefu.... mpaka mmoja akaenda kuwachomea kwa wenye biashara, kuwa hao vijana hawatumii tiGo kwa umasikini bali kwa mazowea.Tena unaambiwa kwa maspeshalisti hiyo inanunuliwa ghali kuliko mtandao wa kawaida, ha ha ha haaaa! Dunia hii imepinda mkuu!
Just an anecdote: Kuna vijana kutoka sehemu fulani ya Tanzania walinihadithia kuwa walipokwenda Misri kusoma, kwenye nyumba za biashara ya ngono mtandao wa tiGo ulikuwa unauzwa rahisi kuliko ule wa kawaida. Watanzania wale walihamia kwenye tiGo muda mrefu.... mpaka mmoja akaenda kuwachomea kwa wenye biashara, kuwa hao vijana hawatumii tiGo kwa umasikini bali kwa mazowea.
Hata pale bei ya tiGo ilipopandishwa, wao hawakuhama mtandao huo licha ya kulazimika kulipa dabo au tripo.