Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Amekosea kidogotu mkuu alikuwa kwenye kunishauri pls cool down!
siwapendi watu wanaojitungia maswali mkuu
Amekosea kidogotu mkuu alikuwa kwenye kunishauri pls cool down!
Porojo.
Wakati yeye hayupo anamuwacha nani? anawacha biashara yake bila kuwepo mtu?
Habari za kufikirika au mleta mada ni "schizophrenic".
Kuna kitu cja kujibu FAIZAFOXY huyo mtu amekujakuonekana mara mojatu na hakuna alie muona mwingine tofauti na huyo mteja alie kuja hyocku,lakni upotevu wa mahesabu ulikuwa tayari umesha onekana.Nahyo kitu imetokea baada ya kuwa nimeweka vitu fulani hapo kazni baada ya kuona upotevu umekuwa mkubwa ndo ikajitokeza hyo,japo bao cjaamini kama nilicho tengeneza pale ndo kimesababisha au kutokea hicho au la!
Ile dawa ya utajili uliyopewa na mganga kutoka bagamoyo ulikosea masharti yake, hayo ndo mrejesho wake.
umesema kuna kitu uliweka, ulitengeneza pale dukani kwako weka wazi icho kitu na picha ikibidi JF ina wachawi wa kutosha watakushauri pale ulipobugi.
siwapendi watu wanaojitungia maswali mkuu
Ckuzote mfamaji haachi kutapatapa mkuu ni harakati za kujilinda.
Hujakosea kaka mimi mwenyewe mkristo ukweli nilijisahau katk mambo ya maombi na tangu nizaliwe sijaknyaga kanisani zaid ya mara 10.Nashukuru sana kwa ushauri wenu ndg zangu amen!
huijui au?
yes! vipi kwani?
Dawa ni rahisi nayo ni kuokoka. Kuokoka ni kutubu dhmbi kutoka moyoni na kumaanisha kuziacha dhambi hizo. Sasa fuatisha sala hii "Mungu Baba, mimi ni mwenye dhambi kwa kuzaliwa na kwa kutenda. Ninakuomba sasa unisamehe dhambi zangu zote na unipe uwezo wa kuzishinda. Asante kwa kuniokoa katika Jina la Yesu. Amen." Ukiifuaisha kwa makini na kumaanisha utakuwa umeokoka. Nenda kwenye duka lako ukaseme mananeo haya shetani wewe ni mwizI na umekuwa ukiniibia fedha zangu sasa malaika wa Bwana wako hapa wenye panga kali kuliko upanga uwao wote sogea uone watakavyokuchakaza katika Jina la Yesu. Ameen. Halafu eleza yatakayotokea.
hapo mwite kakobe akishirikiana na rwakatare wamvunjevunje huyo jini, wamwagie damu ya yesu, kisha wampeleke kuzimu hutakuja kumsikia tena
pole sana ndugu!!! shusha mvua ya maombi tu ndo dawa!!!
Kesho nenda na biblia iweke hapo dukani asubuhi, sali kumuomba Mungu pia kupitia biblia hiyo afunike duka lako na damu ya bwana yesu na roho mtakatifu awe nawe na hapo dukani;
Imani ni kitu muhimu sana katika sala, unaweza sali au saliwa bila imani ya kuwa ndio yamekuwa uliyoomba na kusubiri Mungu akuonyeshe nguvu zake itakuwa kazi bure.
Ndio maana nakushauri amkia na biblia na imani kuwa inakuondolea matatizo hapo dukani na pia fata hayo ya kusaliwa, mafuta ya upako etc.
Mungu awe nawe.