Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Mmmh! Annointed water??? TB Joshua???
huijui au?
Mmmh! Annointed water??? TB Joshua???
Toa sadaka yawezekana hata maskini husaidii wewe
Utanielewa duka langu siyo kibanda ni frem au chumba,na cku imejitokeza hyo!huyo mteja hakuwa na hela kwenye account yake ya airtel hivyo baada ya huyo mtu au dada kujaribu huku akiwa amekaa dukani mwangu ndo ikawa imeshindikana
duu mkuuu kuna mtu anataka cheo chako..kuna mfanyakazi mwenzako upo nae ofisi moja anataka kukutoa duniani .usipokuwa makini utaiaga dunia cha umuhimu wahi kwenye maombi ..fasta.....haya mambo yapo sana ofisi
za serikali ...tena hasa hasa
1.tra
2.bandarini
3.uhamiaji
4.ofisi za bunge...
5.wizara ya nishati na madini
6.udsm....
Tiba ya mauza uzani ni kukemea Kwa Jina la Yesu hata dakika Tatu hazipiti yatakimbia maana moto huo hauvumiliki kwa ibilisi na majini(mapepo
usiwe unakurupuka, nani anayetaka cheo chake dukani kwake? tabia mbaya kuliko zote ni tabia ya kulazimsha majibu ktk swali lisilohisika
2. sina chuki na watutsi na sijawahi kuwa nazo. Ukichukia magaidi unachukia waislamu? ukichukia alshabab unachukia wasomali? nadhani jibu umeshapata.
).
yeye kaongelea kwenye biashara yake binafsi we unaleta habari ya mtu kumtoa kwenye ofs au mm ndo sijaelewa!!duu mkuuu kuna mtu anataka cheo chako..kuna mfanyakazi mwenzako upo nae ofisi moja anataka kukutoa duniani .usipokuwa makini utaiaga dunia cha umuhimu wahi kwenye maombi ..fasta.....haya mambo yapo sana ofisi
za serikali ...tena hasa hasa
1.tra
2.bandarini
3.uhamiaji
4.ofisi za bunge...
5.wizara ya nishati na madini
6.udsm....
Nitakujibu namba mbili tu maana ndio inayohusiana na shutuma zangu..
Umesema huna Chuki na watutsi wakati huo huo unachukia alshabaab..Ukristo na Chuki wapi na wapi mkuu?
Porojo.
Wakati yeye hayupo anamuwacha nani? anawacha biashara yake bila kuwepo mtu?
Habari za kufikirika au mleta mada ni "schizophrenic".
Amekosea kidogotu mkuu alikuwa kwenye kunishauri pls cool down!