Nilitokewa na mtu akiwa ni mwanamke aliye kuwa amejifunga kiremba che ----- dukani kwangu akihudumia watu pindi ninapo toka kwenda kupata chakula.
Nanimekuwa nikipoteza pesa tena nyingi tu hapo kazini bila kujua zinaelekea wapi na zinatokaje.
Hivi jamani huyo ni mtu wa kawaida au ni jini?
Nitawezaje kulidhibiti hilo tatizo?
Mimi binafsi sijawahi kumuona bali naambiwa na wateja wanaokuja pale wakati mimi sipo.
Nanimekuwa nikipoteza pesa tena nyingi tu hapo kazini bila kujua zinaelekea wapi na zinatokaje.
Hivi jamani huyo ni mtu wa kawaida au ni jini?
Nitawezaje kulidhibiti hilo tatizo?
Mimi binafsi sijawahi kumuona bali naambiwa na wateja wanaokuja pale wakati mimi sipo.