rfjt
Senior Member
- Jun 29, 2011
- 186
- 62
Pole sana kwa kufiwa na jirani yako mpendwa. Ili somo hapo likae vizuri aitwe huyo "mtumishi wa Mungu" aje amwombee afufuke ili watu waamini kweli ametumwa. Yesu na Mitume wengine wengi waliwezeshwa kufufua wafu..vinginevyo tutaamini kifo chake kilisababishwa na kisukari na pressure kupanda baada ya kukasirishwa.