Wana JF.
Nimesikiliza kipindi cha jahazi cha clouds fm ambapo leo topic ilikuwa inahusu hotuba ya mbunge joshua nasari. Kilichonisikitisha sana ni kauli ya kibonde kuhusu nasari. Kibonde ameonekana kama kesha muhukumu nasari na anachoamini kwake ni kwamba nasari haweyi kupewa nafasi yoyote ya kusikiliywa kwasababu ya kauli yake.
Kibonde anasema na kusisitiza kwamba anayepaswa kupewa nafasi ya kuelezea jambo hili ni mwanasheria tu na nasari hana haja ya kupewa nafasi japo watangazaji wenzake wamejaribu kumsisitiza kwamba kuna haja ya kumsikiliza nasari naye lkn kibonde anaonekana tayari ana majibu ya kitu gani kifanyike kuhusu nasari.
Na hapo ndipo ninapokosa logic ya kwanini wanamwita mwanasheria redioni wkt kibonde tayari ana majibu.
Je ni ufafanuzi upi zaidi anaohitaji kutoka kwa mwanasheria?
Je ni mara ngapi tumewahi kusikia kauli kama hizi ktk tanzania? Je kuna haja ya kutoa hukumu kabla ya muda?
Nawasilisha.
Telo.
Nimesikiliza kipindi cha jahazi cha clouds fm ambapo leo topic ilikuwa inahusu hotuba ya mbunge joshua nasari. Kilichonisikitisha sana ni kauli ya kibonde kuhusu nasari. Kibonde ameonekana kama kesha muhukumu nasari na anachoamini kwake ni kwamba nasari haweyi kupewa nafasi yoyote ya kusikiliywa kwasababu ya kauli yake.
Kibonde anasema na kusisitiza kwamba anayepaswa kupewa nafasi ya kuelezea jambo hili ni mwanasheria tu na nasari hana haja ya kupewa nafasi japo watangazaji wenzake wamejaribu kumsisitiza kwamba kuna haja ya kumsikiliza nasari naye lkn kibonde anaonekana tayari ana majibu ya kitu gani kifanyike kuhusu nasari.
Na hapo ndipo ninapokosa logic ya kwanini wanamwita mwanasheria redioni wkt kibonde tayari ana majibu.
Je ni ufafanuzi upi zaidi anaohitaji kutoka kwa mwanasheria?
Je ni mara ngapi tumewahi kusikia kauli kama hizi ktk tanzania? Je kuna haja ya kutoa hukumu kabla ya muda?
Nawasilisha.
Telo.