Rizt mkuu kwenye lift ni muda mchache sana mtu anakaa, sasa hiyo shemeji yetu hana aibu kiasi hicho?!!!!!
Sasa wewe inakuhusu nini kama mwenye mke hataki we kinachokuuma nini,kama uliuomba akakunyima ndo maana umeamua umuanike humu JF,haitakusaidia hii we dili na mkeo,labda uwezi jua jamaa kashazoe na mama ndo anatoa matumizi we unataka umuaribie, MTU MZIMA KUWA MBEA HAIPENDEZI,UTAVALISHWA GAUNI WEWE
Mimi naamini Mwanamke akiamua kutoka nje ya Ndoa lazima kutakuwa na sababu, nyumbani hakuko shwari. Kaa vizuri na huyo rafiki muulize kulikoni nyumbani kwao. Na huyu shemeji yako ni kumkanya tu, anavyofanya ndivyo sivyo.
Wanabodi JF.
Mie sio mwenyeji sana huku nimeona nije nipate michango yenu kutoka kwenu wadau wa MMU.
Kuna rafiki yangu wa karibu mke wake anafanya kazi benki mmoja maeneo ya posta mpya, mara nyingi anafanya kazi mpaka mida ya saa mbili usiku (part time).
Shughuli zake za kibenki zipo ghorofa ya saba ndio kuna ofisi yake, wakati anatoka kazini mida ya saa mbili usiku huwa anapanda lifti na mmoja wa mfanyakazi mwenzake wa kiume, mida hiyo ofisi zote zimefungwa kwenye jengo hilo.
Kinachofanyika kwenye lifti ni kunyonyana ndimi na kufanya machafu, tuna rafiki yetu pale kwenye hilo jengo yupo kitengo cha CCTV Control room ambaye ndio kanionyesha shemeji yetu anavyofanya uchafu huo.
Bahati mbaya rafiki yetu ambae mwenye mke kaambiwa lakini hataki kuona hizo picha za video za mke wake akifanya uchafu kwenye lift.
Hii story ni ya kutengeneza! Kwenye lift hakuna camera za Closed Circuit Televison(CCTV)! Hizo Camera za CCTV zinaongelewa kama kitu cha ajabu vile, mbona huwa zinaonekana tu! Mara nyingi ziko kwenye lift lobbies(mbele ya ule uwazi kabla hujaingia kwa lift), ama kwenye entrance lobbies na hata chooni hakuna cemera! Kama umeoneshwa hiyo crip ya video ni baada ya kutoka kwa lift ama wakiagana lift kabla haijafungwa but not inside the lift!
Aseee.........hii inaitwa attention to detail when scrutinising an incidence!!Mmmhh Ritz wewe huo mda hata dk 5 hazifiki?? Eti mtu kamaliza shida zake.............
Kama umetunga vile au??..................
Mkuu utachekwa acha kuishi kwa mazoea eti kwenye lift hakuna camera sijui upo dunia gani.
inauma kaka, inauma sana jamani! mmh put yaself in his position!Hataki kuziona au hataki kuchukua hatua.....