380,000/- pamoja na installation, kama upo Dar. Kama uko serious nitumia pm.Package yote ya xman g8 , jumla ni tsh ngapi inatakiwa. Na zinapatikana wapi
Nipo Moshi.380,000/- pamoja na installation, kama upo Dar. Kama uko serious nitumia pm.
Inaweza kutumwa kwa basi.Nipo Moshi.
Haya madude ya kuchina ovyo sana bora ulipie dstv
Tokea nimefunga dstv sijawahi kupata hiyo mitatizo ya qsat g6 g8 Mara server down niliamua kuyatupa natumia dstv ipo stable Kama DebianKama unadhani Dstv ndio salama sana, pitia ukurasa wao wa facebook! Labda huenda ukabadilika.
qSAT inatofautiana vipi na xman g8 ya jamaa hapo juu
Kwa wale wa AZSKY
G6 kama unataka kuifufua kwa CCCAM check footer yangu bei ya miezi
mitatu 70,000/=
Utaitaji USB WiFi adapter iwapo unataka kuitumia kwa WiFi...
Kama hauna acess na wifi ya laptop au smartphone au router basi Install
Latest AZSKY G6 S/W inayo support HUAWEI MODEM
Ndani ya miezi mitatu Azsky watakua wamerejesha huduma...
Check footer/signature yangu kwa maelezo zaidi
vp net ya edge/2g inasapoti?