nini maana ya majivuno..... nafikiri nisingemweka huru kwa mambo yangu basi tu kama ilivyosemwa na wadau hii ndo tabia yake na taratibu nitambadili ajue naitaji nini... pia nafikiri asingeweza kuwa na mimi kama tatizo lingekuwa kwanguWewe bwana unaonekana una majivuno ndo maana huyo msichana wako hataki kujihusisha na mambo yako kivile.
Dear tatizo siyo ukimya wala upole tatizo ni kutoa mawazo yako ktk uhusiano wako kufanya kitu fulani kuleta maan nzima ya uhusiano kuzungumza matatizo yenu ktk uhusiano yy kila kitu sawa tu mume wangu mie nakusikiliza ww kweli ndivyo ilivyo??? hasa ktk swala la maendeleo yenu mke ndo mshauri mkuu wa mume na maendeleo ya mwanaume yoyote yako nyuma ya mwanamke mwerevu blv m ana kila kitu mzuri sana na tabia njema tatzo pekee ni hilo ambalo naona uhusiano unapungua kitu fulaniJamani wanaume hamkosi neno
ukiwa mpole shida
ukiwa mchonga domo ndo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hebu m2ambie kipi bora kwenu ili tujue.........maana lo..l?
ndo lengo langu kuu may be haamini amini kama kweli nitamwoa ndo maana ajiweki huru sana kwanguOa kwanza ndiyo utajua how snakey she is
mhh kumbe wapoooo wengine wa hivi mie sikuwai kuonakuna rafiki yangu nae alikuwa na msichana kama huyo wako akawa anamuona hafai. kahangaika weee mwishoni karudi pale pale. kashatoa mahari tunasubiri kula ubwabwa.
mhh kumbe wapoooo wengine wa hivi mie sikuwai kuona
mtu mzima itakwaje awe ndo anaelekezwa na haonyeshi mchango wake wa mawazokuna rafiki yangu nae alikuwa na msichana kama huyo wako akawa anamuona hafai. kahangaika weee mwishoni karudi pale pale. kashatoa mahari tunasubiri kula ubwabwa.
tatizo wasichana wangu wa nyuma walikuwa watu fulani wa changamoto saaana dear nunua basi ile karpet.... mhh hi tv yako mbona ya kizamani sana.... lini utanunua kiwanja dear n.k kiukweli hii humfanya mwanaume akili ifanye kazi sanawapo wengi kaka, tena inawezekana wa kwako ana afadhali.
tatizo wasichana wangu wa nyuma walikuwa watu fulani wa changamoto saaana dear nunua basi ile karpet.... mhh hi tv yako mbona ya kizamani sana.... lini utanunua kiwanja dear n.k kiukweli hii humfanya mwanaume akili ifanye kazi sana
mtu mzima itakwaje awe ndo anaelekezwa na haonyeshi mchango wake wa mawazo
binadamu ndo tulivyo..
mvua zikinyesha tunaulizana jua litawaka lini
jua likiwaka,tunaulizana mvua zitanyesha lini....
always tunataka more and more....
changamoto gani sasa hapo,mtu mtulivu...
muoe kwanza....labda utoto tu,kwanza hakuna watu wapole tu..
wengngi wakimya tu....utamjua vizuri ukishamuoa...
Unataka mafeminist...be badboy ...uone yukoje!
haya bibie niatakua nakushtua ww unipe changamoto kimaisha ahahahahaaachukulia hiyo ni sehemu ya mapungufu yake. kama ushauri hata jf utapata.
kuna rafiki yangu nae alikuwa na msichana kama huyo wako akawa anamuona hafai. kahangaika weee mwishoni karudi pale pale. kashatoa mahari tunasubiri kula ubwabwa.
chukulia hiyo ni sehemu ya mapungufu yake. kama ushauri hata jf utapata.