Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Ni kweli ukisoma alichoandika kwenye utangulizi na mkasa wenyewe haviendani. Rafiki yako kabisaaaaaaaaaaa, mmesoma tangu primary hadi UDSM, umemsaidia mkewe kapata masters huko majuu tena kwa gharama zako. Halafu leo hii mkewe tu aseme umemtongoza tu na yeye aahidi kukuchinja? No! Hii ni stori ya kutunga.
Kwa upande mwingine ukiamini kuwa ni kweli, ndiyo maana wengine tunaona kuwa huyu jamaa ni hovyo kabisa, limbukeni wa mapenzi...ni kiazi kweli kweli!