Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
1,145
1,911
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
 
Maintain your frame, wewe ni kiongozi wa familia, Mtafutaji, mlezi

Kuwa tayari kubeba majukumu yote ya familia na kufanya maamuzi magumu kulinda familia

Mpende mke wako kabla ya wengine, Kazi ya kupenda ni mwanaume, kutii ni mwanamke (kulingana na biblia)

Usiruhusu 50/50, Umemuoa yeye hajakuoa wewe

TAFUTA HELA SANA ITAKUPA HESHIMA

Mengineyo jiongeze haya mambo hayana formula sometimes maana familia A ni tofauti na familia B, fanya kulingana na mlivyozoeana
 
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa!

Bas sasa kitu ndani ya nyumba.

Sasa Ningependa kupata Code kutoka kwa mlio oa Vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (DOs and DONT ) kwa mke.
Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi

Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Wanawake wanakero sana, yataka ustahimilivu wa hali ya juu. Chunga sana maneno yanayotoka mdomoni mwako, huwa hawasamehi wala kusahau na ni watu wa visasi.
 
Hakikisha anadeki nyumba yote, anafua nguo zote mpaka na mazulia, afagie uwa na kukata nyasi, apike Milo yote mitatu, afute mabuibui na kusafisha vioo, alime mboga mboga, amuoshe mbwa na kumpikia mbwa, asisuke Bali uwe unamnyoa na wembe, asiende sokoni Bali uwe unamletea kila kitu.
Mwisho hakikisha ndani ya miaka 3 awe na watoto 3.
Hakikisha hajipaki mafuta zaidi ya mafuta ya kula.
Fanya hivyo mkuu utanishukuru baadae usimwonee mwanamke huruma kwenye majukumu yake yalio kwenye maandiko na kumtaftia msaidizi.
 
Back
Top Bottom