NIMESALITIWA nisaidieni

Visible

Senior Member
Dec 8, 2009
139
1
Heshma mbele wana JF.

nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.

Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.

Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.

nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .

Home haji tena hii ni week ya tatu,

Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.

Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....

Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.

Kabadli mpaka namba ya simu.

JF NISAIDIENI.
 
Mwanangu huyo yupo kimaslahi zaidi, achana naye haraka sana. Hata akirudi, the moment akipata mwenye mshiko kuliko wewe atafanya tena hivyo hivyo.
 
Heshma mbele wana JF.

nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.

Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.

Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.

nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .

Home haji tena hii ni week ya tatu,

Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.

Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....

Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.

Kabadli mpaka namba ya simu.

JF NISAIDIENI.

Mkono mtupu haurambwi!

Inaonyesha Visible hukuwa na fedha za kulea penzi lenu, ndo maana ameenda kwa mwenye nazo.

Amini usiamini dogo, mapenzi natural yapo, lakini fedha zinaweka MANUKATO katika penzi...!

Kama utakuwa fresh atakutafuta tuu...Wee komaa naKazi yako fresh, utengeneze mahela!
 
Heshma mbele wana JF.

nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.

Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.

Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.

nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .

Home haji tena hii ni week ya tatu,

Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.

Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....

Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.

Kabadli mpaka namba ya simu.

JF NISAIDIENI.

-Umemaliza nini???,na umebamba mzigo gani(kuwa muwaiz tafadhali na jaribu kuongea lugha rahisi ambayo kila mtu atakuelewa na aweze kukusaidia kwa ushauri).

-Unamuomba msamaha wa nini?,kwa kukikuta msg kutoka kwa mwanume mwingine na ulipomuuliza akawa mbogo ama??,Cmon mkuu you can't be serious

-Cha msingi hapo ni ukae na kufanya uchunguzi (kama una muda huo) ili ubaini kama ni kweli ana mahusiano ya pembeni ama...Au kama vp kaa utulie utampata mwingine ambaye natumaini mtakuwa mnapendana kwa dhati,hapa namaanisha kwamba uachane na huyu bintimatakusumbua sana aisee...

-Pia usitumie Pesa kama kigezo cha kumfanya huyo binti akupende(arudi kwako),achana naye,hakupendi,hakufai..kila la heri
 

Visible
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Tue Dec 2009
Posts: 9
Thanks: 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Mkuu kuwa makini naona umeiga kwa mkuu wajamvi asiye ona kuanzia jina umekwepesha kidogo lakini umechukua ka avatar kake kwa kwenye signature haka hapa.
Ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako!
Ahsantee.gif

Thank you for supporting JF!
Kwa nn usitafute Avatar ingine au unashindana na Invisible?
 
Heshma mbele wana JF.

nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.

Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.

Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.

nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .

Home haji tena hii ni week ya tatu,

Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.

Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....

Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.

Kabadli mpaka namba ya simu.

JF NISAIDIENI.
we bado demu wa kibongo unamuita G.F?kula mzigo anza,au kama mmeelewana kiaina unaendelea nae uhusiano lakini kimachale hamna kusikilizia,asilimia kubwa madem hapo vicheche unategemea nini?huyo nae ni kimojawapo we unakiomba msamaha kivipi,umepata kazi komaa na kazi na utengeneze maisha hao madem wapo tu na hawana mpango ukiwa na mshiko unachagua mwenyewe unachagua uwe na yupi na saa ngapi aondoke,achana na mawazo ya madem tafuta chapaa kwanza,vinginevyo utaachwa sana.
 
Mkuu kuwa makini naona umeiga kwa mkuu wajamvi asiye ona kuanzia jina umekwepesha kidogo lakini umechukua ka avatar kake kwa kwenye signature haka hapa.​


Kwa nn usitafute Avatar ingine au unashindana na Invisible?


unamaanisha yeye ndo mkuu wa JF au?

Nieleweshe kama vipi nichange faster kabla hajashtuka.

ni mkuu wa kaya?
 
unamaanisha yeye ndo mkuu wa JF au?

Nieleweshe kama vipi nichange faster kabla hajashtuka.

ni mkuu wa kaya?

afu kuna thread katoa that....'I will be back'

u better be quick thou.

back to the topick
nyota njeme huonekana alfajiri
 
Kaka get it from me sababu mie i have be heartbroken over 5 times. ACHANANAE! Hakupendi. Mpende akupendae. Na ukitaka ujiumize zaidi, endelea ku investigate. Utakuta mwanaume yuko 10times zaidi yako. Utaumia.
B a man. move on. Maisha yake hayatasimama sabab ya demu asiekupenda na msaliti.
Relationship ziko kama business, u get, u lose. u get again, u lose.
B strong. good luck upate atakaekupenda.
 
bado sijaelewa babaake.

kwani yeye ni nani bana acheni woga.

We dogo unaonyesha si mtu mzuri wewe!

Mbona mbishi hivyo na huelewi kitu?

Umeiga jina...haitoshi hadi uige na Avatar?

Nilikuwa nakuonea huruma jinsi ulivyoporwa DEMU...kumbe ndiyo maana!...

FICHA UPUMBAVU WAKO..USIFICHE HEKIMA YAKO!!
 
-Umemaliza nini???,na umebamba mzigo gani(kuwa muwaiz tafadhali na jaribu kuongea lugha rahisi ambayo kila mtu atakuelewa na aweze kukusaidia kwa ushauri).

-Unamuomba msamaha wa nini?,kwa kukikuta msg kutoka kwa mwanume mwingine na ulipomuuliza akawa mbogo ama??,Cmon mkuu you can't be serious

-Cha msingi hapo ni ukae na kufanya uchunguzi (kama una muda huo) ili ubaini kama ni kweli ana mahusiano ya pembeni ama...Au kama vp kaa utulie utampata mwingine ambaye natumaini mtakuwa mnapendana kwa dhati,hapa namaanisha kwamba uachane na huyu bintimatakusumbua sana aisee...

-Pia usitumie Pesa kama kigezo cha kumfanya huyo binti akupende(arudi kwako),achana naye,hakupendi,hakufai..kila la heri
Heko...
 
We dogo unaonyesha si mtu mzuri wewe!

Mbona mbishi hivyo na huelewi kitu?

Umeiga jina...haitoshi hadi uige na Avatar?

Nilikuwa nakuonea huruma jinsi ulivyoporwa DEMU...kumbe ndiyo maana!...

FICHA UPUMBAVU WAKO..USIFICHE HEKIMA YAKO!!

kaka unaua sasa...
 
Back
Top Bottom