VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
nenda na bajaji ukamchue demu wako....bado anakupenda.line yake iliibiwa na ana mpango wa kuchonga nyingine....ng'ang'ania!
Kama hutaki kuibiwa usiowe......!Heshma mbele wana JF.
nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.
Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.
Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.
nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .
Home haji tena hii ni week ya tatu,
Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.
Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....
Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.
Kabadli mpaka namba ya simu.
JF NISAIDIENI.
nipo hapa.ni inbox kama vipi