Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Status
Not open for further replies.
Mkuu Kiranga taratibu mkuu nilikuwa natoa mfano si kwamba nilikuwa na hakiki hoja samahani kama nimekukwaza. Inawezekana kuna mambo mengi tu yamemfanya arudi mjini lakini kwa ufupi maisha lazima yaendelee.

Maisha lazima yaendelee, lakini si lazima yaendelee mjini tu, hususan kwa watu waliotoka kujinadi kama wadau wakubwa wa maendeleo ya watu wa majimbo ya vijijini.

Wabunge wote pamoja na wadau wengine wanaojinadi kuwa au kutaka kuwawakilisha wananchi wa majimbo ya vijijini inawabidi wawe wakazi wa huko huko vijijini, sio mnawapelekea wananchi wagombea ubunge watalii ambao hata wananchi hawawajui. Na wakishindwa uchaguzi wiki moja tu wanakitoa "kurudi" mjini kwenye viyoyozi wakisubiria uchaguzi ujao.
 
Regia kasema karudi toka kilombero lakini hajasema mahsusi "karudi" wapi, jf, dar, au popote pale pengine. Lakini naona baadhi ya watu wamerukia kuhitimisha kuwa karudi da'slaam (mjini). Sasa inawezekana kweli karudi da'slaam lakini kuanza kumlaani kwa kusema "karudi" bila kujua kwa uhakika anamaanisha "karudi" wapi, huo ni utovu wa busara.
 
Mkuu Kiranga, Kama wagombea wote wangekuwa wanakusoma hayo uliyoandika hakika wangehamia majimboni mara moja na kuanza kujenga chama, kufungua ofisi za chama kila mtaa au kijiji na kuweza kupanua wigo. Na hakika haya ndo malengo yao haswaaaa, kwa sasa hatuwezi kujua dada Regia huenda kafuata ngawila si unajua kijijini ngawila za tabu kuzipata.

Dada RM karibu sana tunasubiri taarifa tuweze kujua yaliyojiri na kuweza kuongeza mbinu za kupambana na hiki kirusi kiitwacho ccm.
 
Regia kasema karudi toka kilombero lakini hajasema mahsusi "karudi" wapi, jf, dar, au popote pale pengine. Lakini naona baadhi ya watu wamerukia kuhitimisha kuwa karudi da'slaam (mjini). Sasa inawezekana kweli karudi da'slaam lakini kuanza kumlaani kwa kusema "karudi" bila kujua kwa uhakika anamaanisha "karudi" wapi, huo ni utovu wa busara.

Kuondoka Kilombero so soon baada ya uchaguzi kwenda popote pale kuna reinforce notion kwamba Regia ni mamluki Kilombero na si mwananchi anayeishi na kuwa na base Kilombero.

Na mjini si lazima kuwe Dar tu, mtu anaweza kutoka Kilombero akaenda Morogoro mjini akawa guilty kwa ku abandon ship as much as mtu aliyetoka Kilombero kwenda Dar.

Bottom line, kama wewe ni mdau wa Kilombero unaona una legitimacy ya kuwa represent watu wa Kilombero, at least kuwa na decency ya kuwa karibu na watu wa Kilombero kiasi cha kuishi nao (hususan kwa zaidi ya wiki moja baada ya uchaguzi) sio kutoweza kusubiri hata wiki moja usharudi mjini kwenye urahisi wa maisha.
 
Mkuu Kiranga, Kama wagombea wote wangekuwa wanakusoma hayo uliyoandika hakika wangehamia majimboni mara moja na kuanza kujenga chama, kufungua ofisi za chama kila mtaa au kijiji na kuweza kupanua wigo. Na hakika haya ndo malengo yao haswaaaa, kwa sasa hatuwezi kujua dada Regia huenda kafuata ngawila si unajua kijijini ngawila za tabu kuzipata.

Dada RM karibu sana tunasubiri taarifa tuweze kujua yaliyojiri na kuweza kuongeza mbinu za kupambana na hiki kirusi kiitwacho ccm.

This RedDevil is quite a devil.

Hilo swala la ngawila ndilo litatuonyesha who is real and who is just in it for the ngawila.
 
Kuondoka Kilombero so soon baada ya uchaguzi kwenda popote pale kuna reinforce notion kwamba Regia ni mamluki Kilombero na si mwananchi anayeishi na kuwa na base Kilombero.

sasa regia amekuwa "mamluki"? Hivi kiranga huyu dada kakukosea nini hasa? Halafu unasadiki mno. Wewe ni nini kinakufanya udhanie kuwa kilombero hana makazi? Amekuambia hivyo? Na hata kama "karudi", wewe unajua karudi kwa muda gani? Au mwenzetu wewe unaijua ratiba nzima ya mipango yake? Halafu vipi kama karudi tu jf lakini bado yuko kilombero? Poor regia just cant catch a break
 
Dada Regia nilikuwa sijawahi kusikia jina lako kabla ya huu uchaguzi kazi uliyoifanya kilombero imekuweka kwenye ramani ya wanawake na watanzania shupavu kabisa napenda kukutaarifu kwamba una washabiki wengi sana walio nje ya nchi.Kila mtu anayesikia kuhusu maisha yako anakuwa inspired sana.Tutafanya yote ndani ya uwezo wetu kukusadia endapo utendelea kupambana na mafisadi,usiwasahau watu wa kilombero bado wanahitaji mpiganaji.Mungu akubariki sana
 
sasa regia amekuwa "mamluki"? Hivi kiranga huyu dada kakukosea nini hasa? Halafu unasadiki mno. Wewe ni nini kinakufanya udhanie kuwa kilombero hana makazi? Amekuambia hivyo? Na hata kama "karudi", wewe unajua karudi kwa muda gani? Au mwenzetu wewe unaijua ratiba nzima ya mipango yake? Halafu vipi kama karudi tu jf lakini bado yuko kilombero? Poor regia just cant catch a break

Inherently nampenda sana Regia, kwa sababu nawapenda sana wapinzani wanaothubutu kushindana na status quo.

Najua wengine wataona vigumu kuamini hili kwa kuona "namuandama" Regia. Lakini wengine watajua kwamba mara nyingine mwalimu anayekuandama kwa maswali sana darasani hakuandami kwa sababu hakupendi na anataka kukuaibisha, bali anakuuliza kwa sababu anaamini una uwezo na ukipata challenge inayostahili unaweza kukua vizuri.

Whether Kilombero ana makazi au hana makazi si muhimu, whether Kilombero ana makazi yake primary, her primary domicile, ni muhimu.

Mimi kilichonifanya niamini Kilombero hana primary domicile ni kauli yake kwamba "anarudi kutoka Kilombero". Huwezi "kurudi" kutoka primary domicile yako.

Kama hana umamluki wa kwenda Kilombero kwa mitkas tu wakati hana primary domicile, basi ana mapungufu makubwa katika communication skills.

Yote mawili mabaya.
 
Karibu RM jamvini ila bado hujatueleza hatua gani utachukua na pia Dr. Slaa nae hajatueleza atachukua hatua gani WaTZ tu na shauku kubwa ya kujua jamani???
 
karibu tena

RedDevil, Kiranga

ni ngawira sio ngawila

You can't critique the critic. Whether it is ngawira or ngawila inategemea upo Mjini Magharibi au Mrima, Barawa au Lamu, Mgao au Kerimba, Mvita au Kalemie, Unyanyembe au Uchifundi.

Ngawila na ngawira zote mbili ni sawa kutegemea na lahaja. Inategemea unatumia lahaja ipi. Wengine wanasena papo, wengine wanasema hapo, wengine wanasema papo hapo.

Huiwezi kusema hapo ni sawa na papo si sawa

Kuna lahaja nyingine kama ya Unguja zinazotaka kuwa karibu na kiarabu zinakataa kwamba maneno yaliyotoholewa kutoka kiarabu kama "mwalimu" hayatakiwi kuwa na "u" ya mwisho na yanatakiwa kuwa "mwalim" ili yawe karibu zaidi na kiarabu yalichotoholewa.
 
You can't critique the critic. Whether it is ngawira or ngawila inategemea upo Mjini Magharibi au Mrima, Barawa au Lamu, Mgao au Kerimba, Mvita au Kalemie.

Ngawila na ngawira zote mbili ni sawa kutegemea na lahaja. Inategemea unatumia lahaja ipi. Wengine wanasena papo, wengine wanasema hapo, wengine wanasema papo hapo.

zote mbili ni sawa kasema nani?

na wewe ulikuwa unazungumza lahaja ya wapi?
 
Inherently nampenda sana Regia, kwa sababu nawapenda sana wapinzani wanaothubutu kushindana na status quo.

Najua wengine wataona vigumu kuamini hili kwa kuona "namuandama" Regia. Lakini wengine watajua kwamba mara nyingine mwalimu anayekuandama kwa maswali sana darasani hakuandami kwa sababu hakupendi na anataka kukuaibisha, bali anakuuliza kwa sababu anaamini una uwezo na ukipata challenge inayostahili unaweza kukua vizuri.

Whether Kilombero ana makazi au hana makazi si muhimu, whether Kilombero ana makazi yake primary, her primary domicile, ni muhimu.

Mimi kilichonifanya niamini Kilombero hana primary domicile ni kauli yake kwamba "anarudi kutoka Kilombero". Huwezi "kurudi" kutoka primary domicile yako.

Kama hana umamluki wa kwenda Kilombero kwa mitkas tu wakati hana primary domicile, basi ana mapungufu makubwa katika communication skills.

Yote mawili mabaya.

you are now just picking on her unfairly. Some of your pre-election criticism against her was legitimate and i shared some of the sentiments. But you crossed the line when you declared she was going to lose before a single ballot was even cast and you continued with your talk down of her. Yours wasnt constructive criticism at all! As if that wasnt enough, here you are, back at it in full force picking up exactly where you left off
 
sasa regia amekuwa "mamluki"? Hivi kiranga huyu dada kakukosea nini hasa? Halafu unasadiki mno. Wewe ni nini kinakufanya udhanie kuwa kilombero hana makazi? Amekuambia hivyo? Na hata kama "karudi", wewe unajua karudi kwa muda gani? Au mwenzetu wewe unaijua ratiba nzima ya mipango yake? Halafu vipi kama karudi tu jf lakini bado yuko kilombero? Poor regia just cant catch a break

Mkuu kwenye post yake Regia anasema nimerudi salama toka Kilombero na hii inadhihirisha kuwa ametoka huko kurudi huku mjini na si kurudi JF...
 
zote mbili ni sawa kasema nani?

na wewe ulikuwa unazungumza lahaja ya wapi?

Mimi nabadili lahaja kila microsecond, i have to go back to the mental surveillance tape to find out which lahaja I switched to at that particular moment. Of course it is quite possible that due to some privacy clauses hizo cameras zinaweza kuwa hazijarecord certain aspects of the mental process with regards to the linguistics.
 
Karibu sana dada Regia.

Kwa jinsi navyokujua, unamaanisha umerudi tena JF jukwaa la MMU ambalo ulilazimika kuliaga ili ukapambane na CCM. Uchaguzi umeisha, yaliyotokea yametokea. Karibu tena jukwaani, japokuwa wengine wanatafsiri kwamba Umerudi mjini, kwa kuwa tu JF inapatikana mijini....LOLZ

Big Brother ODM anakupenda, anakukaribisha tena jukwaani na anakupa hongera kwa uthubutu wako wa kupambana na Goliati ukiwa na manati yako.

Welcome back dada Regia.
 
You can't critique the critic. Whether it is ngawira or ngawila inategemea upo Mjini Magharibi au Mrima, Barawa au Lamu, Mgao au Kerimba, Mvita au Kalemie, Unyanyembe au Uchifundi.

Ngawila na ngawira zote mbili ni sawa kutegemea na lahaja. Inategemea unatumia lahaja ipi. Wengine wanasena papo, wengine wanasema hapo, wengine wanasema papo hapo.

Huiwezi kusema hapo ni sawa na papo si sawa

Kuna lahaja nyingine kama ya Unguja zinazotaka kuwa karibu na kiarabu zinakataa kwamba maneno yaliyotoholewa kutoka kiarabu kama "mwalimu" hayatakiwi kuwa na "u" ya mwisho na yanatakiwa kuwa "mwalim" ili yawe karibu zaidi na kiarabu yalichotoholewa.

umetoa somo zuri la tofauti za lahaja. Ila kwa kiarabu hakuna 'mwa' kwa hiyo mwalim inakuwa 'maalim'. Sasa tusiiteke nyara mada ya regia na haya mambo ya isimu maana gaijin naye siku hizi anajifanya 'mtaalam' wa lugha
 
you are now just picking on her unfairly. Some of your pre-election criticism against her was legitimate and i shared some of the sentiments. But you crossed the line when you declared she was going to lose before a single ballot was even cast and you continued with your talk down of her. Yours wasnt constructive criticism at all! As if that wasnt enough, here you are, back at it in full force exactly where you left off



The Following User Say Thank You to Nyani Ngabu For This Useful Post:
Asprin (Today)
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom