Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Mkuu kwenye post yake Regia anasema nimerudi salama toka Kilombero na hii inadhihirisha kuwa ametoka huko kurudi huku mjini na si kurudi JF...
'huku mjini' ndo wapi? Mwanza? Dar? Unguja? Wewe unajua kwa uhakika hiyo mjini ni wapi?