Nimepoteza dira, naombeni ushauri nifanyaje

Tanya

JF-Expert Member
May 4, 2013
340
158
Habari.

Mwenzenu niko kwenye hali ya kukata tamaa na kukosa matumaini kabisa ya maisha. Nimemaliza form four miaka kadhaa imepita sikufanya vizuri, nimereseat mara tatu hii mara ya tatu ni mwaka jana ambapo angalau nilipata c mbili na D moja.

Sasa nikajipa matumaini kuwa nifanye application kwenye vyuo mbalimbali vinavyotoa certificates nikaomba vyuo vya afya, vyuo vya ualimu, vyuo vya kilimo na vya uvuvi.

Sasa majina ya vyuo hivyo yanaendelea kutoka sioni jina langu hata chuo kimoja yaani nashindwa nifanyeje?? Au Mungu aliniandikia kufa kifo cha mende!

Naomba ushauri nifanyeje? Njia zote nilizozitegemea zioni suluhu.
 
Habari.
Mwenzenu niko kwenye hali ya kukata tamaa na kukosa matumaini kabisa ya maisha. Nimemaliza form four miaka kadhaa imepita sikufanya vizuri, nimereseat mara tatu hii mara ya tatu ni mwaka jana ambapo angalau nilipata c mbili na D moja. Sasa nikajipa matumaini kuwa nifanye application kwenye vyuo mbalimbali vinavyotoa certificates nikaomba vyuo vya afya, vyuo vya ualimu, vyuo vya kilimo na vya uvuvi.
Sasa majina ya vyuo hivyo yanaendelea kutoka sioni jina langu hata chuo kimoja yaani nashindwa nifanyeje?? Au Mungu aliniandikia kufa kifo cha mende???? Naomba ushauri nifanyeje? Njia zote nilizozitegemea zioni suluhu.

Pole sana kaka siku zote katika maisha mambo mazuri huwa hayaji kwa usiku mmoja tu. Mwenyezi Mungu huwa anapenda kumpima mtu kwa kumpatia mitihan migumu na mikubwa kabisa ambayo kwa maamuzi ya haraka haraka unaweza kumkufuru.

Cha msingi we angalia fulsa nyingne tu kama umejaribu kuomba na umekosa basi jaribu kuomba hata diploma ya ualimu ambayo itaanza kutolewa na chuo cha UDOM kama special plogram kwa mwaka wa masomo 2014\2015 lakini kama ulisoma science na utapata mkopo full deadline mwisho 10 mwez huu kwa maelezo zaidi tembelea www.heslb.go.tz .
 
Pole sana, mara nyingi huwa tunakuwa na matumaini na pindi mambo yanapoenda kinyume baadhi ya watu huona kama ndiyo mwisho wa dunia, chukulia hayo yaliyokutokea kama changamoto za maisha, na kwamba muda muafaka wa kubadili mtazamo wako kuhusu njia ya mafanikio kwenye maisha yako.

Unaweza kujiunga na vyuo vya ufundi kama VETA, au ukaamua kutafuta fursa zingine za maisha ikiwezekana hata kujiingiza kwenye kilimo kama hali ya mjini inazidi kubana. ila naamini kukata tamaa ni moja ya dhambi kubwa kwenye mafanikio.

Piga moyo konde, tuliza kichwa ipo siku mambo yatanyooka.
 
Weka kwanza results matokeo ya kwanza kabisa ya pili na ya mwisho ulipataje?, then kuanzia hapo tunaweza kukushauri mkuu,

usife moyo
 
Nani kakudanganya ili uishi maisha ya uhakika ni hadi uwe na vyeti.Tunasoma kutoa ujinga sio kufanikiwa maisha...... jamaa aliyekuwa anakimbiza class nilikutana naye juzi baada ya miaka kumi ya shule ya msingi anafanya kazi ya ufundi ujenzi.
 
Kwanza nafikiri mtoa mada pengine hana uwezo wa kulipa ada kwenye hivi vyuo vya private kusoma walau certificate.aende Open university kidogo course zao ni cheap na unaweza kujishughulisha huku unasogeza shule.Ukipata certificate yoyote pale OUT unaweza kuomba kusoma vyuo vya serikali diploma zenye udhamini kama ualimu n.k
 
Asante kwa ushauri wenu wadau, naanza kupata moyo kidogo kidogo. mbarikiwe
 
apply vyuo vya u2mishi wa uma fara wewe ualimu wanini akati kuna wa2 wana3 zao na hawakwenda fom v izo ndo nafasi zao ok! apply singida kuna law,hr,record mgt e,t,c huachwi! sorr 4da rude lg nilishazoea!
 
Habari.

Mwenzenu niko kwenye hali ya kukata tamaa na kukosa matumaini kabisa ya maisha. Nimemaliza form four miaka kadhaa imepita sikufanya vizuri, nimereseat mara tatu hii mara ya tatu ni mwaka jana ambapo angalau nilipata c mbili na D moja.

Sasa nikajipa matumaini kuwa nifanye application kwenye vyuo mbalimbali vinavyotoa certificates nikaomba vyuo vya afya, vyuo vya ualimu, vyuo vya kilimo na vya uvuvi.

Sasa majina ya vyuo hivyo yanaendelea kutoka sioni jina langu hata chuo kimoja yaani nashindwa nifanyeje?? Au Mungu aliniandikia kufa kifo cha mende!

Naomba ushauri nifanyeje? Njia zote nilizozitegemea zioni suluhu.

pole saana,apply record mgt utapata kazi haraka ,soko bado lipo ,piA nenda face to face kwa principal wa chuo unachoomba mweleze tatizo lako,au unaweza apply ualim cheti then diploma akasoma record mgt,best wishes
 
chuo cha usafirishaj NIT ungepata ila ungeanza foundation miez 3 ila kwasasa umechelewa lakin bado unanafasi chuo cha utumish unaweza kuanza kuomba mwez wa kumi 11 vyote ni vya serikal nina uwakika utapata,
 
apply vyuo vya u2mishi wa uma fara wewe ualimu wanini akati kuna wa2 wana3 zao na hawakwenda fom v izo ndo nafasi zao ok! apply singida kuna law,hr,record mgt e,t,c huachwi! sorr 4da rude lg nilishazoea!

pply vyuo vya u2mishi wa uma fara wewe ualimu wanini akati kuna wa2 wana3 zao na hawakwenda fom v izo ndo nafasi zao ok! apply singida kuna law,hr,record mgt e,t,c huachwi! sorr 4da rude lg nilishazoea!
 
nenda local government training institute-hombolo (kama familia ina uwezo wa kumudu gharama za karo), kuna course nyingi kule, utaanza na certificate then stashahada itayokufanya kusoma shahada uko mbeleni
 
Back
Top Bottom