Nimepata scholarship UK ila napaswa kufanya mtihani wa IELTS

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,301
23,023
Wakuu nimepata scholarship ya kwenda kusoma Master chuo cha University of leeds. Nimeambiwa lazima nifanye mtihani wa IELTS.

Kwanza nikiri kwamba kingereza cha kuongea nipo shallow ila kuandika niko freshi. Sina practice nyingi katika kuongea hali inayosababisha kuyatafuta maneno ya kingereza kichwani pindi ninapo ongea na kusababisha kutojiamini na kigugumizi kikubwaa.

Hii imetokana na shule nilozo soma kwani zote ni za kata kuanzia O-level mpaka A-level.
Nahisi hata combination zimechangia mana nilichukua mchepuo wa pcb.

Sasa nauliza ni wapi naweza pata chuo ambacho within 2 months nitakuwa vizuri?
Na je hiyo test inafanyika wapi?

Ninakisikia chuo cha british counselor kipo vzr ila sijui kipo wapi
 
Wakuu nimepata scholarship ya kwenda kusoma Master chuo cha University of leeds. Nimeambiwa lazima nifanye mtihani wa IELTS.

Kwanza nikiri kwamba kingereza cha kuongea nipo shallow ila kuandika niko freshi. Sina practice nyingi katika kuongea hali inayosababisha kuyatafuta maneno ya kingereza kichwani pindi ninapo ongea na kusababisha kutojiamini na kigugumizi kikubwaa.

Hii imetokana na shule nilozo soma kwani zote ni za kata kuanzia O-level mpaka A-level.
Nahisi hata combination zimechangia mana nilichukua mchepuo wa pcb.

Sasa nauliza ni wapi naweza pata chuo ambacho within 2 months nitakuwa vizuri?
Na je hiyo test inafanyika wapi?

Ninakisikia chuo cha british counselor kipo vzr ila sijui kipo wapi
Hv scholarship za o'level huwa zatoka dogo langu nmuombee???
 
Ingia hapa. Free Online Courses - FutureLearn chagua course ya kujifunza kingereza cha kuongea...

Baada ya hapo connect na watu wanataka practice ya kuongea muwe kila siku mnaongea nusu saa kuhusu mambo mbali mbali..

Unaweza Omba connection kupitia Skype Kwa watu wanaokijua vizuri uwe unafanya mazoezi.. Kuwa serious na zingatia appointment mnazowekeana

Ndani ya mwezi tu ukijituma unaweza kuanza kugonga yai balaa...

Thank me later!

Ethos.
 
Test inafanyika British council na huwa wanazo workshop pale pale, ila kama kiwango chako kidogo wanazo kozi za kiingereza pale nakushauri watembelee utapata taarifa zaidi na ushauri juu ya tatizo lako..
 
Wakuu nimepata scholarship ya kwenda kusoma Master chuo cha University of leeds. Nimeambiwa lazima nifanye mtihani wa IELTS.

Kwanza nikiri kwamba kingereza cha kuongea nipo shallow ila kuandika niko freshi. Sina practice nyingi katika kuongea hali inayosababisha kuyatafuta maneno ya kingereza kichwani pindi ninapo ongea na kusababisha kutojiamini na kigugumizi kikubwaa.

Hii imetokana na shule nilozo soma kwani zote ni za kata kuanzia O-level mpaka A-level.
Nahisi hata combination zimechangia mana nilichukua mchepuo wa pcb.

Sasa nauliza ni wapi naweza pata chuo ambacho within 2 months nitakuwa vizuri?
Na je hiyo test inafanyika wapi?

Ninakisikia chuo cha british counselor kipo vzr ila sijui kipo wapi
Nenda ofisi za british council posta. Wambie unataka training kwanza kabla ya kujiandikisha.
Note; kuandika na kusoma ni skills.
 
Wakuu nimepata scholarship ya kwenda kusoma Master chuo cha University of leeds. Nimeambiwa lazima nifanye mtihani wa IELTS.

Kwanza nikiri kwamba kingereza cha kuongea nipo shallow ila kuandika niko freshi. Sina practice nyingi katika kuongea hali inayosababisha kuyatafuta maneno ya kingereza kichwani pindi ninapo ongea na kusababisha kutojiamini na kigugumizi kikubwaa.

Hii imetokana na shule nilozo soma kwani zote ni za kata kuanzia O-level mpaka A-level.
Nahisi hata combination zimechangia mana nilichukua mchepuo wa pcb.

Sasa nauliza ni wapi naweza pata chuo ambacho within 2 months nitakuwa vizuri?
Na je hiyo test inafanyika wapi?

Ninakisikia chuo cha british counselor kipo vzr ila sijui kipo wapi


Halafu cha ajabu pmj na kusoma Kiingereza kwa zaidi ya miaka 10 hapa TZ bado unakwenda kufanya Mtihani na Wachina, Wakorea, Vietnam&Co. ambao Kiingereza kwao ni somo tu lkn kila kitu wanasomea kikwao, na siajabu wakakupita maksi au mkapata sawa!
 
gharama ya test ni 465000/ pia ukipenda kupata short course for preparation gharama ni kama ifuatavyo 10hrs course ambayo inafanyika siku za weekends kwa week mbili ni 190000 kwa 40hrs ambayo kama sikosei ni week 4 kama si sita ni 660000 hata Mimi natarajia kufanya huo mtihani mwezi wa kwanza,pia unaweza kufanya mazoezi zaidi kupitia mtandao ingia hapa www.testden.com
 
Hongera
Pitia website ya British council itakupa mwongozo mzuri kuhusu huduma hiyo ya mitihani,test centres,mafunzo na gharama.
Pia waweza fika office zao Dar es Salaam... Google map itakuonesha zilipo kwa maelezo zaidi.
 
KIUFUPI HONGERA CHANGAMOTO ILIYOBAKI NI NDOGO UKIICHUKULIA SERIOUS NI KWELI ENGLISH NI PROBLEM YA WENGI HAPA TZ SIO KWA ELIMU YAKO TU HATA PHD NA PROFFESSORS ,JIPANGE UKAFANYE HIYO COURSE BRITISH COUNCIL BT NOW PIA JIZUIE KUFIKIRI KWA KISWAHILI AND USIJIJUDGE SANA KWA KILA SENTESI MI NAAMINI USHASHINDA ...ZAISI WAPE WATU AKILI ULIYOTUMIA KUPATA THAT SCHOLARSHIP ILI NA WAO WAFAIDIKE NA HUO NDIO UTU WEMA
British council ipo wapi kaka?
Naambiwa ni posta lkn sijui posta wapi mana posta ni kubwa sanaa
 
Back
Top Bottom