John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Habari zenyu.. sitaki mtu wa kutafsiri ndoto yangu ila nimeota kuna member wa JF kafa huu mwaka kabla haujaisha. wana JF mrudieni Mungu
nasita kusema amen kutokana na io avator yakoin the name of the living od, I declare life and not death! say Amen!
nasita kusema amen kutokana na io avator yako
Mkuu Black nadhani ingekua vyema endapo maudhui ya hii thread ungei'change katika kuwasisitiza Member juu ya umuhimu wa ibada na kumrudia Mungu!Habari zenyu.. sitaki mtu wa kutafsiri ndoto yangu ila nimeota kuna member wa JF kafa huu mwaka kabla haujaisha. wana JF mrudieni Mungu
Kweli mkubwa! Nakuunga mkono ktk hoja hii, jamaa kama sheikh yahya vile duh!Hivi kufa ni kwa kutomrudia Muumba pekee..................wakati mwingine kifo ni lengo la Muumba kukunusuru na dhambi......................mkumbuke Enock...................Mwenyezi Mungu alimchukua mzima mzima na kumpeleka Mbinguni na kumwepusha na mauti ili kwa sababu aliona amezungukwa na jamii ya waovu ambao wangeweza kumdhuru kimwili na kiroho.......................huu utabiri wako ni vigumu kuuthibitisha hadi hapo utakapotupa jina la mhusika na tarehe husika kwa ufuatiliaji............vinginevyo utakuwa unavizia lolote lile na baadaye kujimilikisha kuwa sasa umekuwa mnajimu.............
<br />nasita kusema amen kutokana na io avator yako
<br />Habari zenyu.. sitaki mtu wa kutafsiri ndoto yangu ila nimeota kuna member wa JF kafa huu mwaka kabla haujaisha. wana JF mrudieni Mungu
..................sijasoma hii sredi...................Habari zenyu.. sitaki mtu wa kutafsiri ndoto yangu ila nimeota kuna member wa JF kafa huu mwaka kabla haujaisha. wana JF mrudieni Mungu
<br />..................sijasoma hii sredi...................
Aminaaa...ila hilo paja lawaweka watumishi kunako majaribuni..ushindwe katika jina la Yesu,nakemea pepo la mauti
hiyo amina yako imefutika kutokana na maelezo yako ya mbele yakeAminaaa...ila hilo paja lawaweka watumishi kunako majaribuni..