...dahh, ungeipost hii kule juu kwenye jukwaa la Siasa bana, huku unatuletea Nuksi kwa sie wenye matumaini ya maisha.
Dahh,
Mbu umeona eehh angeenda kule amtabirie mwanasiasa mmoja mkubwa kufa hapo ingekuwa bomba ila kwenye MM unaleta biashara ya kufa ni nuksi tupu