Nimeona story ya Beka ya mahari milioni 22. Nawapa experience yangu nilivyobargain na wakwe zangu, vijana jifunzeni

Kulipa mahari ni kufanya biashara ya utumwa iliyohalalishwa tu.

Unamnunua mwanamke kwa mahari.

Ndiyo maana wanaume wengi wanajiona wana sauti ya kuamrisha, kutesa, kunyanyapaa wanawake, etc.

Kwa sababu wanaona huyu nwanamke nimemlipia mahari.

Ni sawa na ng'ombe niliolipia mahari tu.

Ni bidhaa tu ambayo thamani yake ni sawa na mahari niliyolipa.

Hana utu wa kuwa sawa nami.

Ndiyo maana mimi nimemlipia mahari yeye.
Kwann usitombe mkono wako tu kama unaona mahari ni utumwa?
 
Kwann usitombe mkono wako tu kama unaona mahari ni utumwa?
Huwezi kuelewa mambo haya kwa sababu hujapata elimu ya kukufungua macho.

Ndiyo maana mimi najadili hoja ya mahari, wewe unanijadiki mimi.

Kwa kunichamba na ad hominem attack.

A logical fallacy.
 
Kulipa mahari ni kufanya biashara ya utumwa iliyohalalishwa tu.

Unamnunua mwanamke kwa mahari.

Ndiyo maana wanaume wengi wanajiona wana sauti ya kuamrisha, kutesa, kunyanyapaa wanawake, etc.

Kwa sababu wanaona huyu nwanamke nimemlipia mahari.

Ni sawa na ng'ombe niliolipia mahari tu.

Ni bidhaa tu ambayo thamani yake ni sawa na mahari niliyolipa.

Hana utu wa kuwa sawa nami.

Ndiyo maana mimi nimemlipia mahari yeye.
Mkuu samahani lakini hujaweka kila kitu in perspective way, mwanamke kimaumbile ni mtu wa kulelewa maisha yake yote, na likifanyika hilo hii dunia ingelikuwa na amani tele, mwanamke ni kiumbe cha kudekezwa tu kwa mahaba na vizawadi zawadi kama watoto, kama ilivyo binadaamu kwa mungu wao, huo ndio mfumo halisi wa maisha ingawa unaweza usiwe sahihi lakini ndio hali halisi, tukitaka kinyume na hapo kujifananisha tuko sawa na wanawake tutajikuta tunatembea kichwa chini miguu juu na chupi tunavalia kichwani, tafuta hela ungoe Pisi kali enjoy maisha, Haya maisha ni mafupi sana kuleta makasiriko ndugu yangu.
 
Mkuu samahani lakini hujaweka kila kitu in perspective way, mwanamke kimaumbile ni mtu wa kulelewa maisha yake yote, na likifanyika hilo hii dunia ingelikuwa na amani tele, mwanamke ni kiumbe cha kudekezwa tu kwa mahaba na vizawadi zawadi kama watoto, kama ilivyo binadaamu kwa mungu wao, huo ndio mfumo halisi wa maisha ingawa unaweza usiwe sahihi lakini ndio hali halisi, tukitaka kinyume na hapo kujifananisha tuko sawa na wanawake tutajikuta tunatembea kichwa chini miguu juu na chupi tunavalia kichwani, tafuta hela ungoe Pisi kali enjoy maisha, Haya maisha ni mafupi sana kuleta makasiriko ndugu yangu.
Mwanamke gani?

Ume generalize sana. Ukishasema "mwanamke ni ...", ukiachilia mbali vitu vichache ambavyo ni definition ya msingi, huko kwingine una generalize tu.

Wewe unasema hayo kutokana na mtazamo finyu ambao unatokana na utamaduni wako.

India katika utamaduni wao, mwanamke ndiye analipa mahari. Sasa huko India inakuwa vipi? Mwanamke anakuwa si mtu wa kulelewa na kudekezwa?

Your argument is based on a fallacy. The fallacy is appeal to tradition.

Nimeweka mfano wa mwanamke wa Kimarekani aliyekataa utamaduni huo wa kumfanya mwanamke kuwa ni kiumbe wa kulelewa na kudekezwa. Kwa nini? Kwa sababu haya ni mambo tunayojipangia wenyewe kiutamaduni tu, hakuna kitu chochote katika vinasaba vya mwanamke kinachosema kwamba mwanamke ni mtu wa kulelewa na kudekezwa. Na kama huu ni utamaduni tuliojiwekea wenyewe tu watu, na unawadogosha wanawake, tunaweza kuuondoa.

Your argument is a logical fallacy. Appeal to tradition.

Look that up.

 
Sasa ww umeenda nnje ya mada ukakomaa kukosoa kibwagizo, anyway ile pisi ni kali jomba. Fally ipupa alipokuja mwanza aliwahi kudata pale ikabidi nimshike kiuno wife nisepe
Bado sijashawishika. Mwanamke kuwa na ''ngekewa''wa kutongozwa tongozwa na wanaume bado haimaanishi ni mzuri. Pengine anaonekana ni ''mama rahisi'' machoni mwa wanaume au ni mzuri wa kufanyia majaribio ambayo wanaume hawawezi kuyafanya kwa wake zao.
 
Mahari ni mbaya popote. Ikitolewa upande wowote.

Wewe unapotaka kum control mwanamke kwa mahari unazidi kuthibitisha maneno yangu kwamba mahari ni bei ya kumnunua mtumwa.

Kutotoa mahari haina maana wazazi hawatakujua, that is a logical non sequitur fallacy. Si kika mzazi anataka mahari.

Nyerere alikataa mahari kwake. Kwa sababu za kifalsafa kama zangu.
Ndugu yangu mtu akishakuwa mshenzi MBWA sio suala la mahari tu ni katika maisha yake yote yeye atakuwa ni Mnyama tu vitendo vyake, mahari isiwe sababu ya kumnyanyasa mtu wewe kama ni mbwa ni mbwa tu hata upewe bure na kulipwa ulipwe wewe bado utaendelea kumnyanyasa mtoto wa watu, unapoamua kuchambua mambo ya kijamii kama haya usiangalie upande mmoja angalia pande zote na kimazoea binaadamu Tabia zetu zikoje kimalezi na kimaadaili, hapo ndio unapokosea wewe mkuu fungua macho yako na akili yako yote kutafakari na mtoa maoni kulingana na uhalisia sio mapenzi yako binafsi.
 
Kulipa mahari ni kipimo cha uwezo wa kuyabeba majukumu na kuingia utuuzima. Sasa kama huwezi lipa mahari tunakutofautishaje na mtoto wa sekondari. Wazazi hapo ndo wanapima kwamba binti yao anaenda ishi na mtu wa aina gani, ni mshenzi au muungwana. Kuanza jibishana na wazazi sijui ulimnunuliaga zawadi ni utoto mkubwa sana na ujinga.
Usimvue nguo ndugu yetu mkuu muheshimu kwa leo tu
 
Mahari milioni 20? 😰😰😰

Mimi hata mjadala hakuna wakae na binti yao tu. Kwa sababu najua hata tukiamua kubargain hawawezi kushuka mpaka m5 ambayo bado kwangu naiona kubwa sana.
 
Mwanamke gani?

Ume generalize sana. Ukishasema "mwanamke ni ...", ukiachilia mbali vitu vichache ambavyo ni definition ya msingi, huko kwingine una generalize tu.

Wewe unasema hayo kutokana na mtazamo finyu ambao unatokana na utamaduni wako.

India katika utamaduni wao, mwanamke ndiye analipa mahari. Sasa huko India inakuwa vipi? Mwanamke anakuwa si mtu wa kulelewa na kudekezwa?

Your argument is based on a fallacy. The fallacy is appeal to tradition.

Nimeweka mfano wa mwanamke wa Kimarekani aliyekataa utamaduni huo wa kumfanya mwanamke kuwa ni kiumbe wa kulelewa na kudekezwa. Kwa nini? Kwa sababu haya ni mambo tunayojipangia wenyewe kiutamaduni tu, hakuna kitu chochote katika vinasaba vya mwanamke kinachosema kwamba mwanamke ni mtu wa kulelewa na kudekezwa. Na kama huu ni utamaduni tuliojiwekea wenyewe tu watu, na unawadogosha wanawake, tunaweza kuuondoa.

Your argument is a logical fallacy. Appeal to tradition.

Look that up.

Mkuu sikatai binaadamu anaweza akakana hata ubinaadamu wake sio maumbile tu lakini chochote utakachokifanya utapata matokeo, na matokeo ya hao wanawake wa kimarekani waliamua kujipa uhuru ndio tunayaona, kama si wayahudi waliokataa kushushiwa chakula kutoka mbinguni ( manna na salwa) leo hii wasingekuwa kutanga tanga duniani kutafuta riziki. Hao wanawake wa kimarekani hadhi Yao kiutu na kibinaadamu iko chini sana mbele ya wanaume zao ukilinganisha na hawa wakwetu, usi generalize Jamii tofauti kwa kutumia formula tofauti, kipimo cha matokeo kiwe kimoja mkuu tafakari unafeli sana
 
Ndugu yangu mtu akishakuwa mshenzi MBWA sio suala la mahari tu ni katika maisha yake yote yeye atakuwa ni Mnyama tu vitendo vyake, mahari isiwe sababu ya kumnyanyasa mtu wewe kama ni mbwa ni mbwa tu hata upewe bure na kulipwa ulipwe wewe bado utaendelea kumnyanyasa mtoto wa watu, unapoamua kuchambua mambo ya kijamii kama haya usiangalie upande mmoja angalia pande zote na kimazoea binaadamu Tabia zetu zikoje kimalezi na kimaadaili, hapo ndio unapokosea wewe mkuu fungua macho yako na akili yako yote kutafakari na mtoa maoni kulingana na uhalisia sio mapenzi yako binafsi.
Argument yako kwamba mwanamke ni mtu wa kudekezwa na kulelewa kama mtoto tu ni argument ya kuwanyanyasa, kuwanyanyapaa na kuwadogosha wanawake.

Ni logical fallacy, appeal to tradition.

Jifunze kufikiri vizuri zaidi kutoka kwenye hizi logical fallacies.
 
Mkuu sikatai binaadamu anaweza akakana hata ubinaadamu wake sio maumbile tu lakini chochote utakachokifanya utapata matokeo, na matokeo ya hao wanawake wa kimarekani waliamua kujipa uhuru ndio tunayaona, kama si wayahudi waliokataa kushushiwa chakula kutoka mbinguni ( manna na salwa) leo hii wasingekuwa kutanga tanga duniani kutafuta riziki. Hao wanawake wa kimarekani hadhi Yao kiutu na kibinaadamu iko chini sana mbele ya wanaume zao ukilinganisha na hawa wakwetu, usi generalize Jamii tofauti kwa kutumia formula tofauti, kipimo cha matokeo kiwe kimoja mkuu tafakari unafeli sana
Hizo habari za binadamu na Mungu, Wayahudi na manna, tukizifuatilia hapa utakuta kuwa ni hadithi ambazo huwezi kuzithibitisha.

Nakwambia hivi, argument yako ni logical fallacy, appeal to tradition.

Ukiiondoa hiyo logical fallacy ya appeal to tradition, huna argument.

Tatizo sina hakika kama hata unaelewa logical fallacy ni nini, sembuse appeal to tradition.
 
Argument yako kwamba mwanamke ni mtu wa kudekezwa na kulelewa kama mtoto tu ni argument ya kuwanyanyasa, kuwanyanyapaa na kuwadogosha wanawake.

Ni logical fallacy, appeal to tradition.

Jifunze kufikiri vizuri zaidi kutoka kwenye hizi logical fallacies.
Ukimuondolea mwanamke hiyo sifa ya kulelewa pia mwanamke anajukumu la kulea watoto, kunyonyesha, kila mtu asimame kwenye majukumu yake mbona unafikiria mambo kiufinyufinyu sana mkuu utafikiri ndio kwanza umekuja leo duniani, when you 3 in Rome do what the Roman's do bro, hii dunia ina bakora zake ukitaka kujifanya mjuaji itakuchapa na usijue zimetoka wapi, Hadi ukija ukishtuka inakuwa too late.
 
Chai hii. Toka mali ya 20M to 1M. Huku kwetu kuna baridi sana, naomba utuchemshie iwe ya moto sana.
Acha kubisha ndugu yangu...
Kwa wenyeji wa kanda ya ziwa wanakupimia mahari kulingana mwonekano wako na utakavoenda...

My short story...

Nilienda uchumba Kwao na mubebi wangu huko Musoma...
Sasa tulienda Mimi, bro na mwamba mmoja bingwa wa Ku-bargain.

Tulikua tumelipuka Sana .. sasa muda wa mahari nilidata maana waliomba Ng'ombe 12, mbuzi 4 shilingi laki 6 (cash) hapo bado makolokolo mengine kibao ya shangazi, mjomba, Bibi, Babu na wazazi wake....

Niliishia Tu kutoa kishika uchumba na uchumba ulifia pale... Baadae kuna mtu (mdogo wake na baby mama) alinipa ubuyu kua kumbe nilipimiwa mahari kutokana na kuja kichwa kichwa lakini ningepewa mke hata Kwa ng'ombe wanne Tu bila masharti mengine
 
Ukimuondolea mwanamke hiyo sifa ya kulelewa pia mwanamke anajukumu la kulea watoto, kunyonyesha, kila mtu asimame kwenye majukumu yake mbona unafikiria mambo kiufinyufinyu sana mkuu utafikiri ndio kwanza umekuja leo duniani, when you 3 in Rome do what the Roman's do bro, hii dunia ina bakora zake ukitaka kujifanya mjuaji itakuchapa na usijue zimetoka wapi, Hadi ukija ukishtuka inakuwa too late.
Logocal fallacy, appeal to tradition.
 
Sasa ww umeenda nnje ya mada ukakomaa kukosoa kibwagizo, anyway ile pisi ni kali jomba. Fally ipupa alipokuja mwanza aliwahi kudata pale ikabidi nimshike kiuno wife nisepe
Kama ni yule nishamfahamu sheikh, vipi baada ya kuzinguana mlirudiana..?
 
Tatizo la bwana Kiranga yeye anapinga kila kitu, kuanzia dini, mila hadi historia. Historically wanawake walikua hata hawahesabiwi na ndo linapokuja swala la kuwalipia mahari sababu ni posession. Mm sipingi kulipia mahari bali nasema lipia bei elekezj
Mkuu,
Wanawake walikuwa hawa hesabiwi kwenye jamii zote duniani?

Na walikuwa hawahesabiwi kwenye nini?
 
Mahari inatweza utu wa mtu na ni mila isiyofaa katika jamii yoyote,mtoa mada alikataa kutoa milioni 22 kwa sababu zipi na alitoa milioni moja kwa sababu zipi? Inaonyesha walikua wanamthaminisha binti kama bidhaa zingine tunazobargain bei, jambo ambalo halifai kufanyiwa binadamu,Mahari zipingwe kama ukeketaji kwa sababu ni udhalilishaji wa utu wa mtu.
 
Iko hivi, kwanza niweke kitu kimoja sawa. Mwanza nzima nadhani nipo kwenye 100 bora za wanaume wanaomiliki pisi kali mule mjini. Haya tuendelee na story

Miaka imepita nilikutana na binti ndo ameanza mwaka wa kwanza pale SAUTI, ninahofia alikua ni classmate wa GENTA. Alikua na uarabu fln kwa mbali saana ila cha kushangaza wazazi wote ni wasukuma (inatokea sana hii mwanza na shinyanga)

Nikimtongoza akakataa mara ya kwanza lkn siku moja alikua na shida akanitafuta nikamuelekeza geton kwangu akaijia hela. Weekend ilofuata alinitunuku tunda yeye mwenyewe. Kuanzia hapo tukawa wapenzi.

Sasa bwana yule binti ile anataka kumaliza mwaka wa mwisho si nikagundua ana mimba. Akamaliza mimba ikiwa na miezi miwili, moja kwa moja hakurudi kwao akawa anakaa kwangu akawadanganya wazazi wake amepata internship na anakaa kwa rafiki yake sababu huko kwao ni nje ya mji.

Bwana bwana, mimba ikazidi kukua na nikaongea na mshikaji wangu mmoja akasema bora nisurrender tu nimpeleke kwao akalelee ile mimba kule.

Nikajitoa akili nikamlazimisha binti japo alikua anaogopa sana. Tukaenda kwao wanashangaa kumuona na kitumbo ila kizuri tulienda na gari binafsi,gari haikua yangu ilikua ya huyo mchizi wangu. Tukaingia pale sisi tumevaa smart kama tunaenda kutoa posa vile na binti kavaa nguo nzuri tu zile za wamama wajawazito.

Tukakaribishwa, yule mshikaji wangu ndo akawa kama wakili wangu (ofcourse jamaa ni wakili by proffession) kwa hio akasimulia msala wote pale ila kwa akili sana. Tukawaahidi wazazi wa binti kwamba binti akijifungua mm nitakuja kutoa mahali ndo nimchukue yy na mtoto. Walizingua sana ila wakawa hawana jinsi, tukatoa vihela kdg pale tukasepa zetu.


Sasa binti si akajifungua kakaa pale hadi mtoto akawa na miezi 7 kuelekea 8 hv wazazj wake wakaanza kunisumbua nimuijie. Basi nikajua wanataka mahari tu, nikajipanga na jamaa yangu tukaenda.

Aisee ile tumefika pale yule mzee si akasema eti mahari na faini tulipe millioni 15 na ng'ombe wawili. Hapo bado zawadi za mama mkwe. Tukaandikiwa nakumbuka ngoma ili-net 20m plus

Ikabidi tuombe faragha mm na jamaa yangu tukadiscuss. Nikaenda pembeni nikamwambia yule jamaa yangu akae kimya nitacheza hilo goma langu mwenyewe.

Nikarudi nikawakalisha wale wazazi kitako mbele ya binti yao, nikaanza kuwauliza maswali.

Hivi nyinyi huyu binti kipindi anasoma mnajua nani alikua anawasaidia kutatua shida zake ndgndg?

Nakumbuka alishawah kuzuiliwa kufanya mtihani sababu ya malipo fln ila mm nikalipia, mnajua ile hela nilitoa wp?

Mnaona anatumua simu nzuri anapendeza mnadhan alikua anafanya kazi? Hayo yote nilikua nahudumia mm.

Kuna kipindi alikua anampelekea mama ake zawadi akitoka hostel, nikawauliza hio hela ya zawadi alizokua anawaletea mnajua aliitoa wap kama sio kwangu? Kwanza hapo mjadala wa zawadi za mama mkwe ukawa umemalizwa.?

Niliongea sana lakini nilibargain na wale wazee hadi millioni 1 na ng'ombe mmoja. Wakwe zangu hadi leo hawana hamu na mm, na wananiogopa balaa.

Vijana jisimamieni, utoe mahari kubwa bado umehudumia na unaenda kuendelea kuhudumia. Na kama umeshamzalisha huyo binti hata aftatu inatosha sababu wazazi wake walishindwa kumpa malezi mazuri.
Hapo mwishoni umemkosea heshima Mke wako.

Alifanya makosa kukuvulia chupi? Wazazi wako ww walikubia ukikutana na binti ambae hajalelewa vizuri umwagie ndani?

Shit sometimea happen tu

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom