Kusema kuwa watu ni wanafki nadhani hapo umeteleza kwa kuwa humu zipo nyuzi kibao za wapenda haki wakililia na kulaani vifo vya hao uliowataja........

Hakuna mtu mwenye akili timamu akafurahia mauaji ya binadamu mwenzake labda mtu huyo awe tishio kwenye jamii na usalama wa wengine......

Mimi nadhani kama ambavyo wanaharakati walikuwa wanatetea na kulaani vitendo vya mauaji na kupotea kwa watu ndio wanavyotetea na kulaani kitendo alichofanyiwa Mtanzania mwenzetu huko Israel.......

Unless kama una agenda nyingine nyuma ya andiko lakini mimi kwa mtazamo wangu sioni unafiki wote.......
Agenda yake itakuwa udini au ughaidi.
Wale siyo wapigania Uhuru bali maghaidi.
Kwanini waue raia asiye kuwa na silaha kinyama vile.
Tena anaonekana bila wasiwasi kwa rangi yake na lugha siyo Muisrael ambao ni adui yao.
Kauwawa sababu ni mweusi mbona hawajaua raia wa nchi nyingine weupe?
 
Punguza ujinga mashamba wanayofanyia field yapo Gaza au ndani ya israel ?


Hamas hawajawahi kuvuka mpaka na kuingia israel baada ya oktoba 7.

Hamas waache sura zao nje hivyo ?

View attachment 2845310

View: https://youtu.be/rVL1AnPq6vs?si=IchVSHQ3UejoNnOT


View: https://youtu.be/DTK04bjiWbQ?si=yCujC1T6cRd-Oic2

Hizo link zite zinaonyesha hao Hamas wakivuka kuingia Israel kufanya mauaji na kuchukua mateka. Sasa kama hawakuwahi kuingia Israel wale mateka 200+ waliwapataje? Hivi mnafikiria sawasawa kweli nyie?
 
uko sahihi kabisa.... Pale Israeli na Palestina ni kama NO GO ZONE tu, kifupi lolote linaweza kutokea upande wowote na lazima utegemee vitu kama vile.

wanasema wamakonde "charity begin at home"
Kweli unafiki sasa wa tz hadi aibu
 
Wejamaa hujielewi, hojazako ni za kipumbavu sana.

Hakuna mtu anaeumizwa alafu watu wakakaa kimya.
Hao wote ulio wataja watu wanapazasauti zao humu kila wakati na sio haotu wapo wengitu wengi tu walioumizwa na watu wanawalilia.

Niujinga kufikiri sehemu hisiazako zilipo basi na kilamtu anahisi sawasawa na wewe.
Ndio maana utaona mahali flani kunamsiba watu wanalia na wengine wanakula bata.
Maisha yapo hivyo.
Ukitaka kilamtu alie na wewe, acheke na wewe then utakuwa kichaa.




Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
CCM waliumizwa?
 
Alivyouwawa mawazo ni speculations? Alivyouwawa Mwangosi ni speculations? Au kwakuwa mauji ya huko hayawahusishi watawala wa hapa basi mnataka kuonyesha mnachukia mauaji?
Hapa una wekeness tatu ZINAZOONYESHA UPUNGUFU WAKO WA BUSARA

(a) Picha unazoleta hazionyeshi watu hao aliuwawa na nani anayestahili kulaaniwa kwa mauaji yao lakini hakulaaniwa; ni speculative na argumentantive opinion tu zilizoletwa kwa hisia. Pamoja na hayo hatuwezi kusema watu hao walikufa vifo vya kawaida tu, ndiyo maana tumekuwa tunahimiza serikali ifanye uchunguzi kamili juu ya vifo vyao miaka yote hii. Tunaheshimu uhai wao hatuwezi kusema vifo hivyo ni vya kawaida tu.

(b) Hata kama una ushahidi kuwa watu hao waliuwawa na serikali au kikundi fulani kilichojulikana lakini hakikulaaniwa, haina maana kuwa kwa hali hiyo basi yule aliyeuwawa na magaidi na mauaji kuonyeshwa dunia nzima eti ni "kifo cha kawaida" tu

(c) Ukishasema hicho ni kifo cha kawaida tu, basi huna haja ya kuoji vifo hivyo unavyoleta kwani navyo utaviweka kuwa ni "vifo vya kawaida tu."
 
Agenda yake itakuwa udini au ughaidi.
Wale siyo wapigania Uhuru bali maghaidi.
Kwanini waue raia asiye kuwa na silaha kinyama vile.
Tena anaonekana bila wasiwasi kwa rangi yake na lugha siyo Muisrael ambao ni adui yao.
Kauwawa sababu ni mweusi mbona hawajaua raia wa nchi nyingine weupe?
Simple na mawazo ALIUWAWA sababu ni chadema
 
Agenda yake itakuwa udini au ughaidi.
Wale siyo wapigania Uhuru bali maghaidi.
Kwanini waue raia asiye kuwa na silaha kinyama vile.
Tena anaonekana bila wasiwasi kwa rangi yake na lugha siyo Muisrael ambao ni adui yao.
Kauwawa sababu ni mweusi mbona hawajaua raia wa nchi nyingine weupe?
Inawezekana nyuma ya andiko lake kuna maumivu makali yanaendelea nafsini yanayosukumwa na hayo uliyoyaainisha.....kwa kuwa inafahamika kuwa watu wa Imani ile wanaamini ndugu yao ni wa imani Yao usie wa Imani yao ndo hivyo tena......

Kwa muktadha huo usishangae kuwa Kuna wanaguswa sana na vifo vya wapalestina kuliko vya watanzania wenzao katika jicho la Imani unless wawe wa Imani sawa na zao........

Na wengi wamejificha kichaka cha ubinadamu kutetea na kulaani lakini Congo na Boko Haram huko Nigeria kunafanyika mauaji huoni wakiyataja kwa kuwa Kongo si wa upande wao na pia Boko Haram ni upande wao.......

Ili uweze kuutazama ulimwengu katka jicho la haki na kibinadamu ni vyema kwanza ujue miwani ya imani kwanza.....
 
Hv tumefika hatua hii ya kulinganisha video na kuona kawaida
Mmefika wewe na nani huyu kauwawa na watu wenye rangi kama yake
hqdefault.jpg
 
We jamaa ni mpumbavu kinoma, yaani unaona kusikitika kuhusu ile video ni unafiki kwa sababu ya kupotea kwa Ben saanane? Yaani mtu asisikitike kwa unyama unaoonekana kwenye ile video kisa ya kuuliwa azroy gwanda? Punguza upumbavu huo.

Kutokusikitika kwenye kifo kimoja haimaanishi usisikitike kwenye vifo vyote.
Wewe tena uyo aliyefariki alipaswa kuwa mtoto wako
 
Wewe jamaa umekosa ubinadamu sababu siasa zimekuingia sana akilini.
Hujaona kelele zilizopigwa humu mitandaoni na baadhi ya magazeti na majukwaa ya mikutano mbalimbali juu ya vifo vya ulio wataja?
Sasa kwanini unataka tusilaani na kifo Cha huyu dogo Joshua?
CCM walichukua hatua gani mtu apigwa risasi mfano lisu wapigaji wakosene unaona ni sahihi
 
Watanzania wengi hawajui kuwa Israeli haikuwepo kabla ya 1948 na kwamba wale waliopo pale ni wazungu kutoka ulaya walioletwa na Umoja wa mataifa. Hii ni habari ambayo Israeli hataki watu wajuwe hasa mataifa ya huku ushenzini ili waendelee kupata uungwaji mkono kwa kupitia Bibilia wakati asilimia zaidi ya 67 ya raia wa Israeli hawaamini Mungu akiwemo waziri wao mkuu wa sasa Benjamin Netanyahu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafahamu kuwa Waisrael ni weusi tofauti na ninaowaona leo...

Kwa hiyo Balozi alisemaje kuhusu vijana wetu ambao tulifahamu kuwa wametekwa kumbe wameuawa?
 
Back
Top Bottom