ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,159
Siku hizi ukitongoza hukataliwi lakini masaa machache baada ya kukubaliwa unapigwa kirungu cha uhakika..sasa utajua mwenyewe unachomokaje...na demu hapo atakuwa anafanya analysis ya kujua kama wewe ni bwege unayehonga massively au ni kapuku tu asiye na chakuhonga.
Kwa sisi wataalamu huo tunaita mtego wa fundi