Dah....kosa kubwa sana hiliYeye ndie alikuwa analipia
Mimi Kijana wa miaka 23. Kuna binti nilitokea kumpenda sana, nilijenga ukaribu nae mpaka watu wa pembeni walihisi niko nae katika mahusiano.
Siku zilienda binti akaanza kuonesha dalili za kunipenda, mfano wakati wa lunch aliniomba tule wote, hata hizo wakato mwingine analipa, wakati mwingine mimi. Kiukweli alionesha kunijali mpaka nikahisi ananipenda..
Sasa mimi baada ya kuona vile nikaamua nisiwe domo zege, nikaamua kumwambia kuwa nampenda, lakini alichonijibu kimenichanganya mpaka sasa hivi, alinambia kwamba anaona ITAKUWA NGUMU COZ ANA BOYFRIEND!
Hata kuniambia ivo bado nikikutana nae hata nikiwa sehemu fulani marafiki zangu tunapiga story ananifuata mwenyewe au ananiita pembeni kunisalimia.. Kwa bashasha na tabasamu pana mpaka nashindwa kuelewa kama lile jibu alimaanisha au aliteleza tu kusema..!
Sasa ndugu zangu nifanye nini anielewe maana nampenda sana.
Naombeni mbinu za kufanya.
Hata wewe umenitolea mimi nje,sina furahaa kabisa yaani!Elewa ulichoambiwa ucje ukajutia mbelen bure
Haya bhana kaz kwako sasa itafute furahaHata wewe umenitolea mimi nje,sina furahaa kabisa yaani!
Ulivyosema kuwa huwa humuombi mpenzi hela ghafla nikajikuta kakupenda bure ila umenitolea nje,mungu anakuona!Haya bhana kaz kwako sasa itafute furaha