CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
Savannah ya wapi?
ben mkapa tower- savannah lounge!
Savannah ya wapi?
Sirari hiyo......hicho bado nirushie nasikia na wewe mwanachama weitu
Kawaulize wakenya ndo watakuambia kama john walker na gongo ni sawa! Chezea gongo wewe!Ndio urithi au wewe bado mtumwa wa pombe za kizungu.......unaambiwa Joni woka wakati ni sawa na gongo tu, chupa imekuzingua!
Ya kienyeji unapata nishai na kushiba...faida mara mbili
Una buzi la kizungu au uko single?
Thatz fantastic... unajua nilijua amesajiriwa na Asernal kumbe Ulimboka Mwakingwe bado anakipiga bongo
Hapo sasa unaweza kuvaa shati miguuni ukadhani suruari
Siku zote sikujua wewe ndie msio maksimo
Mtoto wa kike mida hii unakunywa maji ya Kilimanjaro?!!!!!! Are u booked today...si unajua mtalaka hatongozwi!!
Hiyo nimeipenda ngoja nimwite rafiki yangu Ingram na Mwita jenero