Card gani unatumia ? NMB ,CRDB,VISA,WESTERN ,MASTERCARD ,NBC ? IMEUNGANISHWA KIMANUNUZI ?
Tumia MASTER CARD CRD haiwezekani kwa msaada zaidi fika CRDB USAIDIWECRDB Master
Kama ni CRDB. huu ndio utaratibu.Nenda crdb tawi lolote lililo karibu yako uwaambie unataka kuiactivate card yako iweze kufanya online transsaction watakupa form utajaza then kuna code watakutumia uingie nazo kwenye website yao kujiregister then itajuwa tayar
Equity wana utaratibu gn?Kama ni CRDB. huu ndio utaratibu.
Equity ukifungua tu account mnamalizana hapo hapo, na kufungua account ni ndani ya dakika kadhaa tu, uwe na kitambulisho na 10000 tu.Equity wana utaratibu gn?
Inabidi bank yaķo wakuunganishe na huduma ya intenet banking au malipo ya mtandaoni
Iweke pesa mkuu kama elfu saba ivi watatoa kama elfu nne nafikiri huwez link card ambayo haina balance, Ikizingua Apo Rudi Crdb wakupe fomu ujanze Ya ku ruhusu ifanye miamala ya online, Mimi na recommend Bank ABC au Equity si wasumbufuHaina
Sio internet banking mkuu kuna hudum kama mbili ivi iyo uliyotaja ni costfull sana Yeye Aombe fomu ya kuruhusu kadi ifanye online transaction.Inabidi bank yaķo wakuunganishe na huduma ya intenet banking au malipo ya mtandaoni
Equity hawana shida ukishapata visa Card unaiunga fasterEquity wana utaratibu gn?
Weka pesa kwenye account yako itakubali.