katika ukweli kila binadamu yupo hapa duniani kwa kazi maarumu inashangaza watu wanajadili ndoa nyingi siku hizi zina vujika sababu kama nilivyo anza siwote wanawito wakuoa au kuolewa tatizo hatufanyi umakini katika kuchagua katika jambo ambalo kila siku binadamu anafanya makosa ni hili la kuoa na kuolewa tunavamia watu ambao hawana wito huo matokeo yake nivurugu na manyanyaso ili kuondoa hili ni vema tukamshilikisha mungu atupe ukweli kwa wale tunaotaka kuishi nao kama kweli wana huo wito naomba mwazo yenu wadau