mkuu sijakusoma kabisa, ebu funguka hapo nimefanya advertisement gan kwenye hiyo comment? lols!Acheni kfanya advatisement za biashara za watu, hatari sana.
mkuu sijakusoma kabisa, ebu funguka hapo nimefanya advertisement gan kwenye hiyo comment? lols!Acheni kfanya advatisement za biashara za watu, hatari sana.
Jana jioni nikiwa mitaa ya Sinza nilikuwa natafuta sehemu ambapo ningeweza kuweka Airtel Money kwenye simu yangu ili nimtumie mtu, nilikuwa nataka kiasi kama cha laki 2 mbili. Nikaanza kuulizia kwenye maduka amabyo yalikuwa na vibao vinavyoonyesha kuwa ni wakala wa Airtel Money lakini cha ajabu kila duka/kibanda nilicho ulizia hawakuwa na Airtel Money, zaidi tu ya kunijibu kuwa Airtel Money haipatikani, wanatusumbua sana, hawatuletei, hatupati virtual money, nina virtual kidogo siwezi kukupa yote na blah blah za hivyo. Nilizunguka zaidi ya maduka/vibanda 10 na sikuweza kufanikiwa ila duka la Mwisho nililofika pale Survey ndiyo walionikatisha tama kabisa, nakumbuka dada muuzaji alinijibu kuwa mimi ninayo laki 2 lakini siwezi kukupa yote kwa sababu wateja wegine watakaosa, labda nikuuzie elfu 50 tu! Nuilichoka na hiyo 50 sikuchukua, mimi nilifikiri raha ya mfanya biashara ni kuuza kumbe kuna wengine wana reserve huduma kwa wateja ambao hata hawajulikani watakuja saa ngapi?
Airtel kwa kweli mnakatisha tamaa na huduma yenu hii mbovu kabisa, kumbe mnajua haipatikani ndiyo maana mnatuchosha na matangazo yenu kuwa inapatikana bure, mmekimbilia kututangazia matangazo yasiyokuwa na maana badala ya kuhakikisha upatikanaji wa huduma kwanza. Halafu na nyie wauzaji/wakala kwanini mnakubali kuweka matangazo ya huduma hiyo wakati mnajua haipatikani?
Jana jioni nikiwa mitaa ya Sinza nilikuwa natafuta sehemu ambapo ningeweza kuweka Airtel Money kwenye simu yangu ili nimtumie mtu, nilikuwa nataka kiasi kama cha laki 2 mbili. Nikaanza kuulizia kwenye maduka amabyo yalikuwa na vibao vinavyoonyesha kuwa ni wakala wa Airtel Money lakini cha ajabu kila duka/kibanda nilicho ulizia hawakuwa na Airtel Money, zaidi tu ya kunijibu kuwa Airtel Money haipatikani, wanatusumbua sana, hawatuletei, hatupati virtual money, nina virtual kidogo siwezi kukupa yote na blah blah za hivyo. Nilizunguka zaidi ya maduka/vibanda 10 na sikuweza kufanikiwa ila duka la Mwisho nililofika pale Survey ndiyo walionikatisha tama kabisa, nakumbuka dada muuzaji alinijibu kuwa mimi ninayo laki 2 lakini siwezi kukupa yote kwa sababu wateja wegine watakaosa, labda nikuuzie elfu 50 tu! Nuilichoka na hiyo 50 sikuchukua, mimi nilifikiri raha ya mfanya biashara ni kuuza kumbe kuna wengine wana reserve huduma kwa wateja ambao hata hawajulikani watakuja saa ngapi?
Airtel kwa kweli mnakatisha tamaa na huduma yenu hii mbovu kabisa, kumbe mnajua haipatikani ndiyo maana mnatuchosha na matangazo yenu kuwa inapatikana bure, mmekimbilia kututangazia matangazo yasiyokuwa na maana badala ya kuhakikisha upatikanaji wa huduma kwanza. Halafu na nyie wauzaji/wakala kwanini mnakubali kuweka matangazo ya huduma hiyo wakati mnajua haipatikani?
WamekataaaaaaaaaaaaaaaaaaTayari nimesajili huko, naona mzigo unapatikana kila kona.
Nimetumiwa ada ya shule....wamekataaaaaaaaaaaaaaaaaaaaWamebugi, hawana lolote. Mambo yote ni M-Pesa tu.
Bure ghaliKwann ukome wakati unatuma na kupokea? Bure
Kumbe ndio ilivyo! Mimi nilifikiri nimesahau password ati, najuta sana kupadili password coz siwezi hata kumtumia mtu salio.Tar 8 walitutumia sms za kubadili password,nikabadili juzi nikanunua mpesa kama 250,000 kwa mara ya kwanza kutuma airtel money,nikawa namtumia jamaa yangu kama laki 2 hivi,cha kushangaza password ikawa tatizo attempts zote 6 zikafail wakalock simu nikaenda ofisini kwao wakasema utapigiwa simu mpaka sasa siku ya pili sijui hatima ya pesa yangu,
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Nimetumiwa ada ya shule....wamekataaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wamebugi, hawana lolote. Mambo yote ni M-Pesa tu.
nzagamba yapi ndugu yangu eti wakiblock inachukua wiki mbili kufungua account yako tena. Mimi sijawahi pata logic ya hii kitu.
Mimi pia natumia airtel wiki mbili zilizopita nilikuwa nashughulikia airtel money account yangu jamani walinizungushaaa...mara ooh baada ya masaa 48 utatumiwa ujumbe..ooh baada ya masaa 48 password itarudi 1234 then utabadili..mara ohh account yako haina hela ndo maana tunashindwa kuaccelerate tatizo lako kwa it..mara ohh nenda kasajili namba yako...kumbe namba ishasajiliwa maana nlikuwa naweza access ile menu after 150*60#.mara ohh umepiga maranyingi so usipige tena subiri 48 hrs itakuwa sawa..nikangoja three days nkajaribu holla...nikapiga ndo nikaambiwa two weeks ndo account yako itakuwa ok watanitumia message. Tarehe 14 ndo wiki mbili ziliisha leo 17 sioni msg sioni simu..na wala siwatafuti.
Nmenunua line yangu ya tigo napata sms za bure..net bure...dk 15, na tigo pesa....ol kwa sh. 450.