mmmmmmmhhhhh? Vin kasoma hii post?Hahahahaha......afu wewe si umwache Bishanga antongoze kwanza ndio utoboe siri lol.....nimemmiss klorokwini jamani nitumie namba zake za tGO manake airtel simpati!
mmmmmmmhhhhh? Vin kasoma hii post?
kutongozwa raha eh?Black Bat taratibu basi manake husband Vin Diesel huwa hapendi utani!
hujipendi?
kutongozwa raha eh?
mmmmmmmhhhhh? Vin kasoma hii post?
vin kakubali kukuwowa na kumtunza mwanetu from your ex?
Hahahahaha afu wewe nikikukamata lolposta mpya au ya zamani?
ama kweli mwanamke ni zaidi ya umjuavyo,yaani kuhangaika kote huko tafuta ambulance kwenda mwananyamala,tukanunua pamba,nyuzi etc,tukawakatia chembamba manesi kumbe tumeshikishwa pembe?Afu ujue huyu mtoto wala sio wa kwenu nilimbambika niits kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo .....ni mtoto halali wa Vin
Diesel
ama kweli mwanamke ni zaidi ya umjuavyo,yaani kuhangaika kote huko tafuta ambulance kwenda mwananyamala,tukanunua pamba,nyuzi etc,tukawakatia chembamba manesi kumbe tumeshikishwa pembe?