looooooooo!!!!!!!!!!we Bishanga hojakoma tu na ulivyosutwa kipindi kileeee.bado una hamu ya kuwekwa kati tena eeeh,binafsi natamani sana kupata hiyo nafasi maana msuto wa kwanza ndo kwanza nilikuwa jamvini naingia so nafasi kama hiyo ikijitokeza tena sintoilazia damu yakkhhhhhheeeeeee..........
Zinduna ananigwaya wewe!
Zinduna ananigwaya wewe!
Alianzisha ligi na bishanga akaishia njiani,chezeiya bishanga wewe.