nimekoma kutongoza jf!

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Ilianza hivi,dada mmoja (tumwite Anna) alianza kuniletea viPM vya uchokozi,bishanga nikarespond,tukawa tuna chat. Wiki moja baadae nikapokea PM toka kwa mdada mwingine (tumwite Maryam) tena huyu akawa more straight akanililia shida nikamrushia m pesa. PM zikaendelea mwanawane,mwisho nikapanga ki date na Maryam,akaja,dah mtoto mashallah. Baada ya kufahamiana na maryam huku nyuma bishanga nikaendeleza libeneke na Anna.Jana ndo ilikuwa ki date na Anna pale msasani slipway. Niliwahi nikachukua meza nimekaa namsubiri,akiwa njiani tukawa tuna chat namwelekeza nilipokaa na nilivyovaa.Ghafla namwona Maryam,anatabasamu na kunirushia dongo,we bishanga kumbe hujatulia eh? Dah wacha niwe mdogo kama piriton!
Nimeapa sitongozi tena jf! Lakini na nyie kututega na multiple ID's ndo nini? Acheni hizo,hasa wewe......
 
Naomba usistaafu kabla hujanitongoza na mimi, plz.

Unasutwa lini tena, ile show ilinipita kizembe!

Sema we hupigi misele mingi mitandaoni !
Mbona jana kasutwa Twitter! Kama una A/c kule visit utaona, tena kule ndo sana pamoja na fcbk, hapa cha mtoto .
 
Ilianza hivi,dada mmoja (tumwite Anna) alianza kuniletea viPM vya uchokozi,bishanga nikarespond,tukawa tuna chat. Wiki moja baadae nikapokea PM toka kwa mdada mwingine (tumwite Maryam) tena huyu akawa more straight akanililia shida nikamrushia m pesa. PM zikaendelea mwanawane,mwisho nikapanga ki date na Maryam,akaja,dah mtoto mashallah. Baada ya kufahamiana na maryam huku nyuma bishanga nikaendeleza libeneke na Anna.Jana ndo ilikuwa ki date na Anna pale msasani slipway. Niliwahi nikachukua meza nimekaa namsubiri,akiwa njiani tukawa tuna chat namwelekeza nilipokaa na nilivyovaa.Ghafla namwona Maryam,anatabasamu na kunirushia dongo,we bishanga kumbe hujatulia eh? Dah wacha niwe mdogo kama piriton!
Nimeapa sitongozi tena jf! Lakini na nyie kututega na multiple ID's ndo nini? Acheni hizo,hasa wewe......
Pole mkuu mwenzangu kwa yote yaliyokukuta! Ila usikate tamaa ndio ulijari huo! Mwanaume hasifiwi kula ila kazi ngumu na ..............!!!
 
Pole mwaya ndio ukubwa huo .Utakuwa namna gani bila kupitia vimbwaga vya namna hiyo!
 
Ilianza hivi,dada mmoja (tumwite Anna) alianza kuniletea viPM vya uchokozi,bishanga nikarespond,tukawa tuna chat. Wiki moja baadae nikapokea PM toka kwa mdada mwingine (tumwite Maryam) tena huyu akawa more straight akanililia shida nikamrushia m pesa. PM zikaendelea mwanawane,mwisho nikapanga ki date na Maryam,akaja,dah mtoto mashallah. Baada ya kufahamiana na maryam huku nyuma bishanga nikaendeleza libeneke na Anna.Jana ndo ilikuwa ki date na Anna pale msasani slipway. Niliwahi nikachukua meza nimekaa namsubiri,akiwa njiani tukawa tuna chat namwelekeza nilipokaa na nilivyovaa.Ghafla namwona Maryam,anatabasamu na kunirushia dongo,we bishanga kumbe hujatulia eh? Dah wacha niwe mdogo kama piriton!
Nimeapa sitongozi tena jf! Lakini na nyie kututega na multiple ID's ndo nini? Acheni hizo,hasa wewe......
ukome mr.Tamaa mbele
 
anna hukuwa unamjua.....
Maryam hukuwa unamjua....
Ila alipokuja maryam ukamjua kuwa sio anna??????

Byshenger banaaaaa
 
anna hukuwa unamjua.....
Maryam hukuwa unamjua....
Ila alipokuja maryam ukamjua kuwa sio anna??????

Byshenger banaaaaa

BT , Si hata wewe hua nakusisitizaga kua "ili uwe muongo mzuri uwe unazingatia kuhifadhi kumbukumbu" si unaona sasa unavyochanganya marumba ?
 
Back
Top Bottom