Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,640
Nakuunga mkono.Tuwekeni hela ndani tuanzishe hashtag #weka hela ndani kimbia makato ya kinyonyaji#
Nakuunga mkono.Tuwekeni hela ndani tuanzishe hashtag #weka hela ndani kimbia makato ya kinyonyaji#
Nakazia huu ndio uchaguzi salama kwa wenye kipato kidogo.Tuwekeni hela ndani tuanzishe hashtag #weka hela ndani kimbia makato ya kinyonyaji#
Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio. Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato.
5300 (NMB 4491.53 na Vat 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha.
Hongereni sana NMB Tanzania
Mwigulu ndio tatizo...akipigwa chini watu tutapumuaHizi bank zinatupelekesha zinavyotaka yani hawajali chochote. Wakiamua kupandisha transaction fee wapandisha tu wanavyojua. BOT kama regulatory body nao wamechill tu wavuja jasho tunaumia.
Hii nchi ni Shenzistan.
Hizo huduma zina makato makubwa balaa,pole sana 😁😁Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio. Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato.
5300 (NMB 4491.53 na Vat 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha.
Hongereni sana NMB Tanzania
Shida ni kwa sababu amefanya interbank transactionHapa ongezeko la serikali ni tsh 818 tu. Bado haiwezi kuweka uhalali wa kukata tsh 5300View attachment 2311316
Kutoka bank kwenda mpesa ndio interbank?Shida ni kwa sababu amefanya interbank transaction
Wapi statement iliposema tozo ndio 5,000? Tozo ni 800 tuu..Hivi nilivyoeleza kuhusu tozo hamkuelewa vizuri
Kama hujaelewa ni kwamba kufanya muamala la kwenda nje ya taasisi husika..Kutoka bank kwenda mpesa ndio interbank?
Ni kweli mtandao mmoja kwenda mwingine inaongezeka kiasi lakini sio kama hayo ya elfu 5+ kwa kuhamisha elfu 50.Kama hujaelewa ni kwamba kufanya muamala la kwenda nje ya taasisi husika..
Kama unabisha tuma pesa hapa kutoka mtandao wako wa simu kwenda mtandao tofauti uone moto.
Acha kuwa mbishi ndio wame introduce juzi chunguza utajua,zamani tozo ilikuwa kwenye simu tu bank hazikuwepo na wengi tulikimbilia huko.Wapi statement iliposema tozo ndio 5,000? Tozo ni 800 tuu..
Ni ajabu watu kulalamika tozo ndogo wakati makato ya makampuni ni makubwa mno..
Hata miamala ya simu makato ya kampuni za simu ni kubwa karibu mara 2 ya tozo za serikali sasa sijawahi elewa Kwa nini Serikali inalalamikiwa.
Kwa hiyo tozo ilivyowekwa ni 5,000 au? Umeelewa nilochoandika?Acha kuwa mbishi ndio wame introduce juzi chunguza utajua,zamani tozo ilikuwa kwenye simu tu bank hazikuwepo na wengi tulikimbilia huko.
Ndio hivyo kapata statement kwani haionyeshi mchanganuo wa hayo makato ya 5,000?Ni kweli mtandao mmoja kwenda mwingine inaongezeka kiasi lakini sio kama hayo ya elfu 5+ kwa kuhamisha elfu 50.