Makato ya kuhamisha pesa kutoka NMB kwenda NMB

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,244
39,143
Ndugu zangu wana JF naombeni kujua makato ya kuhamisha pesa NMB kwa NMB gharama zikoje? Kutokana na matozo tuliyowekewa naomba kufaham gharama zikoje.

Kuna mtu natakiwa nimtumie 5,000,000 sasa kutoa nimejua nitakatwa si chini ya 20k afu yeye ana NMB nimeona bora nimtumie makato yawe juu yake. Kutuma million5 gharama zikoje.

Ahsante
 
Ndugu zangu wana JF naombeni kujua makato ya kuhamisha pesa NMB kwa NMB gharama zikoje? Kutokana na matozo tuliyowekewa naomba kufaham gharama zikoje.

Kuna mtu natakiwa nimtumie 5,000,000 sasa kutoa nimejua nitakatwa si chini ya 20k afu yeye ana NMB nimeona bora nimtumie makato yawe juu yake. Kutuma million5 gharama zikoje.

Ahsante
Una akaunti NMB na bado umeshindwa kuwauliza huduma kwa wateja kweli?

Mbona hapo wangekupa ufafanuzi mzuri kabisa. Watanzania kuna mahali tunatia aibu kusema ukweli.

Pia bado unaweza kutumia hiyo hiyo simu yako uliyotumia kupost humu kuingia kwenye tovuti ya NMB ukapata majibu yote.
 
Una akaunti NMB na bado umeshindwa kuwauliza huduma kwa wateja kweli?

Mbona hapo wangekupa ufafanuzi mzuri kabisa. Watanzania kuna mahali tunatia aibu kusema ukweli.

Pia bado unaweza kutumia hiyo hiyo simu yako uliyotumia kupost humu kuingia kwenye tovuti ya NMB ukapata majibu yote.

Niko home kaka
 
Ndugu zangu wana JF naombeni kujua makato ya kuhamisha pesa NMB kwa NMB gharama zikoje? Kutokana na matozo tuliyowekewa naomba kufaham gharama zikoje.

Kuna mtu natakiwa nimtumie 5,000,000 sasa kutoa nimejua nitakatwa si chini ya 20k afu yeye ana NMB nimeona bora nimtumie makato yawe juu yake. Kutuma million5 gharama zikoje.

Ahsante
Screenshot_20220822-160810_Adobe Acrobat.jpg
 
Una akaunti NMB na bado umeshindwa kuwauliza huduma kwa wateja kweli?

Mbona hapo wangekupa ufafanuzi mzuri kabisa. Watanzania kuna mahali tunatia aibu kusema ukweli.

Pia bado unaweza kutumia hiyo hiyo simu yako uliyotumia kupost humu kuingia kwenye tovuti ya NMB ukapata majibu yote.
Kama huna msaada siunyamaze tuu?
 
Nmb-nmb
transfer zote wanakata Buku na kadhaa

Nmb wait wanachuku 847.45
Serikali wao wanachukua 152.55

NB: Hii ya serikali Ni tofauti na Hii mpya iliyoanzishwa juzi, ambayo wanafyeka kill mwisho wa mwezi kwny account
IMG_20220822_170613_8.jpg
 
Una akaunti NMB na bado umeshindwa kuwauliza huduma kwa wateja kweli?

Mbona hapo wangekupa ufafanuzi mzuri kabisa. Watanzania kuna mahali tunatia aibu kusema ukweli.

Pia bado unaweza kutumia hiyo hiyo simu yako uliyotumia kupost humu kuingia kwenye tovuti ya NMB ukapata majibu yote.
Acha ujuaji. Kwani una uhakika humu hakuna staff wa NMB

Una uhakika hao Customer care wanapokeaga simu?
 
Nmb-nmb
transfer zote wanakata Buku na kadhaa

Nmb wait wanachuku 847.45
Serikali wao wanachukua 152.55

NB: Hii ya serikali Ni tofauti na Hii mpya iliyoanzishwa juzi, ambayo wanafyeka kill mwisho wa mwezi kwny accountView attachment 2331454

Sijakuelewa wanafyeka kwenye account kila mwisho wa mwezi kivip yani
 
Ndugu zangu wana JF naombeni kujua makato ya kuhamisha pesa NMB kwa NMB gharama zikoje? Kutokana na matozo tuliyowekewa naomba kufaham gharama zikoje.

Kuna mtu natakiwa nimtumie 5,000,000 sasa kutoa nimejua nitakatwa si chini ya 20k afu yeye ana NMB nimeona bora nimtumie makato yawe juu yake. Kutuma million5 gharama zikoje.

Ahsante
Usije ukathubutu kufanya mobile transfer utakuja kutoa ushuhuda hap jf. Nilihamisha 200k past three weeks ago iyo government levy ilikua zaidi ya 9k unless nilikua special case.
 
Back
Top Bottom