Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,118
- 2,555
Sijawahi kuona Taifa Stars kucheza mechi ambayo naweza nikasema "Aisee Taifa Stars leo wamecheza mpira wa kisasa sijapata kuona au mechi ya kisasa na ya kufurahisha kama walivyocheza Uganda na Rwanda jana"
Nadhan hata hiyo rekodi hatujawahi kuwafikia.
Nadhan hata hiyo rekodi hatujawahi kuwafikia.