Asante sana mdogo wangu,, ni uzoefu tu na nimeshiriki mara nyingi kuajiri,,, na kwa sasa ni DR Congo hapa Goma nafanya kazi ,, namshukur Allah kwa hili na mengi anayonifanyia.. na ww nakuombea kwake akufungulie milango ya neema na rizk... ukiwa na swali rusha hapa au ni PMkama na kaka msumeno huna kazi, hujaamua tu, na kama si hivo Tanzania inapoteza majembe ya muhimu sana maofisini.
Thanks mzee. bonge la ushauri kwa wote.
hapa ndipo ulipoishia updates mkuuTuombe mungu mkuu rolla, Oral ilikuwa poa despite of some minimal frustrations na viuoga uoga vya hapa na pale ila namshukuru Mungu nilijitahidi kadri Mungu alivyonijalia. Sala zenu wakuu ili kijana wenu niwemo
Yakheee! we taja kile kipo rohoni ati kama milioni saba unusu we sema utakuwa umejitendea haki sasa hii ya kukuambia ukaseme kaji laki mbili unusu utakuja tena ati kutulaumu.......kwanza Hongera kwa kuitwa manake siye wengine school ya msingi tu majina kedekede mara usumani mara karimuubadu tena kama unadegeree yakhe we umetoka akyanane tena labda uamue kufeli tu ke intavyuuuuu.........olu ze besti ati.....Habari wana JF, Nimeitwa ktk interview ya NMB itakayofanyika siku kadhaa zijazo katika post ya Bank Officer. Sasa naomba msaada wenu wadau, mfano nikiulizwa mshahara ninaotarajia kulipwa niseme kiasi gani kulingana na rank ya mishahara ya NMB hasa kwa Bank Officer ili nisijichanganye?
Na hali ya mambo kwa ujumla Inakuwaje ktk Interview za NMB kwa wazoefu. Msaada tafahari.
We jamaa hii kazi ulipata? Au ndo upo busy na ku Debit and Credit?Mkuu taasisi za fedha hutoa matangazo yao ktk magazeti kadhaa hapa nchi ila pia mtandaoni. "Zoom tanzania" wamepoteza uaminifu sana kwa wadau watafuta ajira. Atleast fuatilia kupitia "ajira zetu" na "kazibongo" kupitia search Engine yoyote Google or else one.