Aksanteni sana wakuu, tuko pamoja jamani, Mungu mbele daima, niombeeni kijana wenu ktk final ya leo.
Dogo fanya yafuatayo
mengine watachangia wengine
- vaa kinadhifu lakini usipitilize.. kama ni saa ya mkoni basi iwe ya kawaida ila isiwe ya elf 2,, na hala hala usipende kuingalia wakati wa mahojiano maana hupeleka ujumbe wa '' humalizi tu?''
- Usikae kwenye kiti bila kuambiwa kaa hapa....
- wasalimie wote lakini usiwape mikono,,
- tabasamu ki professional na si kilokole
- usioneshe dhehebu gani wasali,,,, kuwa neutural
- relax ,, weka uso wako uwe angavu... usionenshe khofu
- jibu unacho ulizwa na usibahatishe majibu,,, i think??? hairuhusiwi kama hujui sema sijui ila naweza kujifunza
- usipake mafuta ya kunukia sana kama perfume ila kikwapa pia hakilipi
- kenua na usicheke kwa sauti hata ukichomekewa kichekesho
- usinyenyekee sana hasa wakati wa kusalimian an accessive respect sio professional
- toa mifano kiasi wakati wa kujibu maswali ili uoneshe upeo wako wa mambo
- jiweke mbali na siasa, kuchomekewa mambo ya siasa wambie wewe si mjuvi wa hayo
- ukiulizwa mshahara wambie according to their salary scale which yoiu belive ni nzuri .. ila peleleza ujue kima ili ukikomaliwa ukitaje lakini sio exactly ...
- ukiulizwa uko tayari kuanza lini wambie next week... usjibu hata sasa hivi utaonesha jinsi ilivyo desparate na not organised na maisha yako pia
Asanteni sana wakuu kwa maombi na sala zenu, leo tar.07/05 nimefanikiwa kupiga Oral interview kama ilivyoada. Interview ilikuwa njema sana, Cabinet ilikuwa na watu watatu tuu, Zonal manager, Zonal HRO na Invited NMB Branch Manager toka tawi la Urambo. Ilichukua takriban dk.10 mpaka 15 kwa msailiwa mmoja kufanyiwa usaili, na mwisho wa usaili tuliambiwa kwamba, baada ya kila aliyestahili kufanya Oral interview kuwa amefanya Interview, Carbinet ilitueleza kuwa watafanyia analysis performance zetu za Interview then ndani ya wiki 2 waliofanya vizuri watapigiwa simu na NMB Western zone head office Tabora, ukiona kimya ndani ya 2 weeks ujue, no more. Hivyo, niombeeni wadau, shughuli bado jamani, Mungu atusaidie
Nashukuru sana tena sana wadau wote hapa jamvini kwa ushauri na maelekezo yenu tangu mwanzo wa mchakato huu mpaka hapa nilipofikia. Tuombe Mungu kijana wenu niwe mmoja kati ya wateuliwa. Nitaendelea kuwajulisha kila kitu wakati wote. Thanx in advance wadau wote