buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Habari wana JF, Nimeitwa ktk interview ya NMB itakayofanyika siku kadhaa zijazo katika post ya Bank Officer. Sasa naomba msaada wenu wadau, mfano nikiulizwa mshahara ninaotarajia kulipwa niseme kiasi gani kulingana na rank ya mishahara ya NMB hasa kwa Bank Officer ili nisijichanganye?
Na hali ya mambo kwa ujumla Inakuwaje ktk Interview za NMB kwa wazoefu. Msaada tafahari.
Na hali ya mambo kwa ujumla Inakuwaje ktk Interview za NMB kwa wazoefu. Msaada tafahari.